Recent content by King Adolfo Osaka

  1. King Adolfo Osaka

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Nani kakudanganya kuwa pweza ni samaki?
  2. King Adolfo Osaka

    Iwapo Rais John Pombe Joseph Magufuli atafanya haya yafuatayo, hakika atakuwa ni Rais bora kabisa kuwahi kutokea nchini mwetu.

    #4 - Watu wanaombea mabaya hiyo miradi!!! Hao watu wanaomba mabaya kwa nani? Na huyo waliomwomba amewapa jibu gani?
  3. King Adolfo Osaka

    Waliomsindikiza Mwalimu Nyerere safari ya kwanza UNO 1955

    Labda kwa vile hakuvaa baibui.
  4. King Adolfo Osaka

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Hivi huwezi kutoa comments zako kistaarabu hadi utukane?
  5. King Adolfo Osaka

    14-Oktoba-1999: Ulikuwa wapi?

    Kweli kabisa ram!
  6. King Adolfo Osaka

    Ukerewe: Kisiwa cha kipekee kilichopo jijini Mwanza nchini Tanzania

    We acha tu. Kuna sehemu inaitwa Ilugwa duuh, kule ni balaa.
  7. King Adolfo Osaka

    Ukerewe: Kisiwa cha kipekee kilichopo jijini Mwanza nchini Tanzania

    Semedo, Mlishaacha mambo yenu ya kuingilia wake za watu kwa nguvu (olusindiko) na kutakasa wajane (okusomboka) na kutisha wageni kwa mamba (bulalo jomukesye mugenyi)?
  8. King Adolfo Osaka

    Tanga: Eneo la Mandera Wilayani Korogwe barabara kuu kutoka Kilimanjaro kwenda Dar es Salaam haipitiki

    Duuuh, hatari sana. Natamani nirudi Arusha maana niko barabarani (Arusha - Dsm)
  9. King Adolfo Osaka

    Ofisi ya Rais Mstaafu Kikwete yasikitishwa na habari zinazoenea, yasema kuwa hotuba ya Kikwete haikumlenga mtu

    Huu msemo hata siyo wa Jakaya, na yeye aliotoa ktk vitabu vya zamani - Hadithi za Essopo.
Back
Top Bottom