Kwani we unataka kusoma nn mm nakumbuka baba yangu aliwai kuniambia soma kile kitu ambacho
1. Unakipenda
2. Utaweza kukifaulu na kuelewa
Alinisihii nisimuulize chochote kuhusu chaguzi za course kwani nikishindwa mbeleno ntaeza mlaumu kua yeye ndo alifanya nisome iyo course.
My take soma kile...
Alikula maneno kwamba kesho angeitwa tena apage dili nono sasa mzee brother akanipigia simu kukodi gari niende ngoma kuna kazi nikasepa kama cna akili ndo basi mpka leo cjarudipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.