Recent content by kinehala Ihendeli

  1. K

    Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

    kweli kabisa mana ametia fora,kwa kweli wanatutia aibu
  2. K

    usiku wa leo utaamua Tanzania inakwenda wapi..

    kova hatoshi dsm,hivi hakuna kamanda mwingine tz nzima afanye kazi ya ulinzi na usalama ionekane?sehemu kama dsm cyo ya kuongozwa na akina kova
  3. K

    Sugu: Salaam kwa Kova; Filamu yake na Mch. Gwajima haijaeleweka, arudi Studio

    Wameambiwa wakajifunze kazi kwa rpc wa dom.ushauri umetolewa na mhe.sungura mbunge wa cdm.kusoma hawajui na picha hawaoni jamani?
  4. K

    Stephen J.J. Owawa: Naomba kujibu baadhi ya hoja zilizotolewa juu yangu hapa JF

    Vipi owawa utaweza kupambana na kijana makii keven mac ooko wa sota shirati?
  5. K

    Makamanda Polisi Mikoa Arusha na Mbeya wateremshwa vyeo

    yuko wapi kamanda zelothe stephen?je asingefaa kwa nafasi ya igp?
  6. K

    Vicky Kamata: Mageuzi usiniguse tumeolewa na CCM

    Atukome.kaolewa yeye.aliona madaftari mazito,anavyotumia uchi kujinufaisha anafikiri kila mwanamke yuko vile!vick kamata,koma kabisa!umeolewa wewe c kila mwanamke.endelea kuwachanganya uvune vizuri unachopanda
  7. K

    Dakika 45 ITV: Jobu Ndugai apasua siri jinsi nchi inavyofilisiwa na serikali iliyoko madarakani

    Haki ya Mungu Job anakotupeleka siyo.nilishangaa sana alipojitokeza na kuanza kutetea suala la Wabunge kujiongezea posho wakati kuna mambo ya msingi ambayo kama kiongozi wa ngazi ile anatakiwa kuyasema na kuyasimamia.Hivi kweli atasema watu wana chuki naye kwa kauli zake za namna hii?hivi cv...
  8. K

    Watanzania na chuki dhidi ya viongozi wao

    Viongozi wengi cyo wakweli. Hawapendi kuwaambia hali halisi wananchi pindi wanapotafuta kura.Wanaahidi vitu ambavyo viko juu ya uwezo wao kiutekelezaji ndiyo maana wanaposhindwa kutekeleza wananchi hawawaelewi na matokeo yake ni kuwachukia.Kwa hiyo asitafute sympathy kwenye vyombo vya habari...
  9. K

    RC, Mbunge, DC majembe shambani Ludewa, mfano kwa vitendo

    hakuna anayetumiwa.huo ni usanii wa viongozi wetu wa sasa.hapo hakuna mwenye kumaanisha anachofanya zaidi ya pozi la kuwazuga wananchi,wakitoka hapo wanaenda kudai posho kwa kisingizio kuwa walienda kufanya kazi nje ya ofisi zao.
  10. K

    JK kugawa ubalozi kama zawadi

    Naomba mnisaidie wanajamii forum.hivi suala la raisi kuwapa ubalozi viongozi walioonekana kushindwa kazi ni fadhila ama zawadi kwao?
  11. K

    Watanzania hawagomi!!!

    Hi members.napiga hodi jamii forum.Watanzania wanahitaji kuchomwa sindano ya ujasiri
Back
Top Bottom