Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,883
Enzi za kumwaga sera majukwani zimeshapitwa na wakati. Tunataka viongozi wanaofanya kazi kwa vitendo, si kutandikiwa mikeka wanapopanda miti kwa ajili ya picha, ila wazame kwenye tope na kuchimba mashimo ya kupanda kahawa. Kiongozi akiingia jikoni avae aplon, na akiwa michezoni vulana za michezo. Tumechoshwa na usanii wa majukwani.
Picha Kushoto:
Picha Kushoto:
Picha Kushoto:
Mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt Christina Ishengoma (kulia) akishirikiana na viongozi na wanachama wa kikundi cha umoja Mawengi kinachojishughulisha na uoteshaji wa miche ya kahawa kupalilia kahawa jana kushoto kwake ni mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe, na mkuu wa wilaya ya Ludewa Geogina Bundala pamoja na wanachama wa kikundi hicho
Picha Kulia:
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kushoto na mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt Christina Ishengoma kulia wakitazama shamba la kahawa na mkulima wa kijiji cha Mawengi
Mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt Ishengoma aking'olea nyasi mche wa kahawa,
Picha Kulia:
Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Ludewa MOnicha Mchilo ,mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe na mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt Ishengoma wakitazama mashine ya kukoboa kahawa kata ya Mawengi