Kama hautojali nitafungua thread nyingine.. Ya success story. Nitakutag nikimaaliza kuindaa..nafikiri watu wengine pia watashare success stories zao hapo.. Ila kwa sasa naomba maudhui ya huu Uzi ya ubebaji box uundelee bila kuharibu mtiririko wake.
Pia Nina rafiki zangu wenye age kama Yangu, wanamake a lot of money hapa hapa bongo...as they say, surround urself with ppo with the same mission as u..
usishangae
Aisee ni story ndefu but nilianza ujasiliamali@ the age of 18 na capital Mdogo sana, nilipomaliza form iv sikwenda form 6 though nilipata division 1. Niliingia college ingawa nilipata opposition kubwa ya ndugu.. BT nilikuwa na nia tangu mwanzo ya kutoka..hapo ndo safari ilipoanza...
Kweli mkuu kumake ni popote iwe bongo au Nje, am only 23 nipo bongo I make more than 5000$ a month ni mjasiamali nimeinvest kwenye real estate, construction na nataraji kuinvest kwenye online real estate this year. Natoka kwenye familia ya kawaida sana..but I made it. Kutoka ni akili tu...
dasi besi haiitaji vifaa mechanized vya kusagia.. Unaweza kuvunja hata kwa nyundo.. Ni kidogo tu. Pia kila kitu kina changamoto kutoka ni kukabiliana na hizo changamoto
Unaweza kucheki video pia hapa kwa uelewa zaidi
Habari yako Mwana jukwaa mwenzangu. Rejea kichwa cha Uzi hapo juu.
Bila kupoteza mda.. Katika pitapita zangu kwenye mtandao nikakutana na hii kitu nikaona niwashirikishe wenzangu kwa akaeona inamfaa ataifanyia kazi.
Baadhi ya parts za electronics hasa Simu na motherboards za computer zimekuwa...
Natumaini wewe usomae Uzi huu u mzima wa afya. Napenda kuchukua fursa hii kuuleta kwenu Uzi huu. Kwa mda mrefu nimekuwa nikifuatilia hili swala wa kupublish kitabu cha kielektonic yaani eBook kwenye mtandao wa amazon. Kama ww ni mhandishi mzuri wa story au topic mbali mbali zihusuzo maisha ni...
Aina ya laptop ni hp pavilion dv6
Screen size ni 14 inch
Processor nin 2.1ghz quadcore amd 6400 hd graphics
Ram 4gb
500gb hdd
Used for 8 months
No scratches, no problem. Good condition
Price 500,000/=
Call 0754247488
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.