Jifunze kuingiza pesa kupitia Amazon E-Book Publishing

kinegax

Member
Jan 3, 2015
13
21
Natumaini wewe usomae Uzi huu u mzima wa afya. Napenda kuchukua fursa hii kuuleta kwenu Uzi huu. Kwa mda mrefu nimekuwa nikifuatilia hili swala wa kupublish kitabu cha kielektonic yaani eBook kwenye mtandao wa amazon. Kama ww ni mhandishi mzuri wa story au topic mbali mbali zihusuzo maisha ni vema ukatumia fursa hii kuandika kitabu chako na kukiuza kupitia amazon.

Nini cha kufanya:

1. Kwanza hakikisha unajifunza vizuri kupitia website ya amazon.
Ingia google search amazon eBook publishing. Au amazon self publishing

2. Kujiunga ni free haiitaji pesa yoyote

3. Hakikisha una PayPal account ili uweze kupokea malipo yako

4. Kitu cha muhimu za hakikisha kitabu chako ni unique. Kimesahihishwa na kupitiwa vizuri. Content matters than running into making money.

5. Hakikisha unacharge pesa ndogo kwa kuanza ili ujijengee jina kwanza.

6. Kwa kuwa waandishi wengi hakikisha cover page ya kitabu chako unadesign vizuri na inayovutia..

NB: Kuchapisha ni free. Lakini Amazon wana plans mbalimbali ambazo unaweza kuchagua. Lakini unaweza ukaingiza hadi asilimia 70 au 80 ya kila mauzo. Asilimia zinazobaki ni za amazon. Kumbuka hii pia ni biashara kama biashara zingine ina faida na pia INA changamoto.

HUU NI MJADALA OPEN. MWENYE MAWAZO ZAIDI, MWENYE KUFAHAM ZAIDI, NA MWENYE MAONI ZAIDI. TUNAOMBA MCHANGO WAKO..
 
Inawezekana shida kwa hapa kwetu wenye uwezo wa kuandika kitabu kizuri na kwa Lugha ya kiingeleza ni wachache..akiandika kwa kiswahili jua amekwisha limit soko lake la wanunuaji..
 
Inawezekana shida kwa hapa kwetu wenye uwezo wa kuandika kitabu kizuri na kwa Lugha ya kiingeleza ni wachache..akiandika kwa kiswahili jua amekwisha limit soko lake la wanunuaji..
Inabidi unandike kwa kiswahili alafu peleka pale Gurdian au daily news wanakubadilishia lugha
 
Inabidi unandike kwa kiswahili alafu peleka pale Gurdian au daily news wanakubadilishia lugha
Kutafsiri kitabu hasa hadithi au kazi nzuri ya fasihi mf. riwaya siyo kazi rahisi ya kubadilisha lugha tu kama unavyodhani. Kazi yako inaweza kuharibiwa na ikakosa mvuto kabisa hata isinunulike. Naamini kuna watu waliosomea wanaofanya hii kazi na kama ni kazi nzuri ni bora ikafanywa na professionals kuliko mtu tu ali mradi anafahamu Kiingereza.
 
rafiki kama upo hewani ni piem, maana hata
Natumaini wewe usomae Uzi huu u mzima wa afya. Napenda kuchukua fursa hii kuuleta kwenu Uzi huu. Kwa mda mrefu nimekuwa nikifuatilia hili swala wa kupublish kitabu cha kielektonic yaani eBook kwenye mtandao wa amazon. Kama ww ni mhandishi mzuri wa story au topic mbali mbali zihusuzo maisha ni vema ukatumia fursa hii kuandika kitabu chako na kukiuza kupitia amazon.

Nini cha kufanya:

1. Kwanza hakikisha unajifunza vizuri kupitia website ya amazon.
Ingia google search amazon eBook publishing. Au amazon self publishing

2. Kujiunga ni free haiitaji pesa yoyote

3. Hakikisha una PayPal account ili uweze kupokea malipo yako

4. Kitu cha muhimu za hakikisha kitabu chako ni unique. Kimesahihishwa na kupitiwa vizuri. Content matters than running into making money.

5. Hakikisha unacharge pesa ndogo kwa kuanza ili ujijengee jina kwanza.

6. Kwa kuwa waandishi wengi hakikisha cover page ya kitabu chako unadesign vizuri na inayovutia..

NB: Kuchapisha ni free. Lakini Amazon wana plans mbalimbali ambazo unaweza kuchagua. Lakini unaweza ukaingiza hadi asilimia 70 au 80 ya kila mauzo. Asilimia zinazobaki ni za amazon. Kumbuka hii pia ni biashara kama biashara zingine ina faida na pia INA changamoto.

HUU NI MJADALA OPEN. MWENYE MAWAZO ZAIDI, MWENYE KUFAHAM ZAIDI, NA MWENYE MAONI ZAIDI. TUNAOMBA MCHANGO WAKO..
Rafiki kama upo hewani naomba unipiemu, maana kunachangamoto imenipat, kitabu vitabu vyangu bado vipo kwenye draft ya amazon, coz cijasubmit, nimeshindwa kuelewa nini wanataka
 
Program hii ya ebook nilitarajia kuweka playstore , ili waandishi wawe wanaweka kazi zao bure bila kuuza nakala ya yoyote ya kitabu ila mm namlipa kwa watu kusoma kama ilivyo Amazon Kindle Unlimited.

Lakin waandishi wanaogopa kuimbiwa 🤣🤣🤣 uko wakiendelea kuuza whatsapp na kuendelee kulalamika kuibiwa kazi zao.

Swali uwaga najiuliza unaibiwaje kazi zako wakati unauza umaliki wako kwa watu whatsapp?

Ebook ndio mpango mzima ukitaka kupata pesa nyingi kila mwisho wa mwezi.

Kuambiwa watu wakasome vitabu vyako bure kwenye app ni rahisi kuliko kuwaambia waende posta wanunue nakala zako mpya ni ngumu sana.

Soma Amazon Kindle Unlimited utaelewa.

Bure inamata sana kwenye biashara ya vitabu au makala online.
 
Program hii ya ebook nilitarajia kuweka playstore , ili waandishi wawe wanaweka kazi zao bure bila kuuza nakala ya yoyote ya kitabu ila mm namlipa kwa watu kusoma kama ilivyo Amazon Kindle Unlimited.

Lakin waandishi wanaogopa kuimbiwa uko wakiendelea kuuza whatsapp na kuendelee kulalamika kuibiwa kazi zao.

Swali uwaga najiuliza unaibiwaje kazi zako wakati unauza umaliki wako kwa watu whatsapp?

Ebook ndio mpango mzima ukitaka kupata pesa nyingi kila mwisho wa mwezi.

Kuambiwa watu wakasome vitabu vyako bure kwenye app ni rahisi kuliko kuwaambia waende posta wanunue nakala zako mpya ni ngumu sana.

Soma Amazon Kindle Unlimited utaelewa.

Bure inamata sana kwenye biashara ya vitabu au makala online.
Saivi unapokea na makala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliweka kitabu changu amazon, lakini baadae nilikitizama nikakuta wamebadilisha setting ambayo niliiweka, wakakiweka random mpaka nimetoka mood ya kuweka chengine.

Naomba wazoefu wa haya mambo wanipe ufafanuzi wa hilo
 
Back
Top Bottom