Nikiwasha Data katika Simu yangu first of all naanza Kufuatilia Blog maarufu za Kiswahili na Kiingereza na kiukweli nakua interested sana na baadhi ya uandishi unanipa motivation na kutaka nije na content Zingine tofauti Japo Style ya Ku-Delive ni hio hio
Habari naomba nikufungue macho kidogo Kama unatumia mtandao Wa Blogger Ili kuelewa Zaidi kuhama kutoka http kuja https maana yake ni kwamba unatoka http ambayo haipo secure kuja katika certificate ya Bure ya Google ambayo ni https Baada ya hapo Url ya Blog Yako utaona ina Kufuli la Kijani...
This Guy still ana safari ndefu sana kama kweli kinacho mkwamisha ni Language anayotumia na Bado hata aki-change writing language Kuna challenge ya Spelling Errors Mwambie atumie Programu Such as Grammarly na Ginger Writing Checker Zote Available in the Google Play Store Market and App Store..?
Kiukweli nimeamini kwamba you are Pro Blogger na unajua unacho-ongelea pongezi sana kaka maoni Yangu binafsi kwa Blogger yeyote anaenza I mean beginner Hakikisha blog Yako ina template inayofanya kazi kwa speed Kisha blog Yako umeisajili Kupitia Google Search Console Ili kusaidia content zako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.