Recent content by Kinduchu

  1. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Urambo Tabora nije Mahenge Moro Secondary
  2. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wewe Mahenge njoo Urambo Tabora, mie nije huko. Ni PM kwa maelezo zaidi.
  3. K

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Urambo - Tabora nije Ulanga - Moro. Sekondari. 0783025269
  4. K

    Employment letter kutoka PCCB

    Vp huyo dogo kapata barua yake?
  5. K

    Kuitwa kazini-PCCB

    Hongera, Sasa kapige kazi sio kwenda kufidia muda ulikaa idle. Kapambane na Nyangumi.!
  6. K

    PCCB kuna majina hayakuwemo kwenye Aptitude Test

    Mie nilijua umeandika majina ambayo hayakuwemo kwenye aptitude test yameitwa kazini, kumbe unatoa assignment? Jaribu kutetea point yako kwa mifano halisi sio kutoa kazi kwa wengine. !!! Na kwa nini Uhasibu tu maana hata yalivyotoka majina ya Oral hyo kozi ndo ililalamikiwa????
  7. K

    PCCB mbona kimya?

    Ha ha ha , kazi kweli kweli, Taratibu mkuu!
  8. K

    PCCB mbona kimya?

    Poa, Chapa Nyingine anasema kuna jamaa yake kaanza mafunzo Moro, unasemaje kuhusu hilo?
  9. K

    PCCB mbona kimya?

    Ndugu vp mbona hujasettle mara Economics mara Accountancy, sasa nijue lipi?Ni kweli A/C walifanya Early March usaili, ina maana jamaa wanatumia LIFO katika kuita people? Maana wale wa mwanzoni bado!
  10. K

    PCCB mbona kimya?

    Itamcost kvp mbali na kukosa kazi?
  11. K

    PCCB mbona kimya?

    Hyo kozi mbona haimo kwa zile kozi walizotangaza ndugu? Kwan yy yupo kwa nafasi gani? (Quantity survey, Accountancy, Human Resources Management, Law, Procurement, Journalism, Information Technology, Highways Engineering, Building Constructions, Electrical Engineering, Land Management and...
  12. K

    PCCB mbona kimya?

    Poa, ni wa kozi gani?
  13. K

    PCCB mbona kimya?

    Taarifa alizotoa wapi?
  14. K

    PCCB mbona kimya?

    Hongera zake, alipigiwa simu ama na wapo wangap huko Moro?
  15. K

    PCCB mbona kimya?

    Poa ndugu, ngoja dogo aendelee kuvuta subira.
Back
Top Bottom