Uwe unasoma kwa makini,nimekwambia jamaa yangu ndo accountancy yupo moro bana
bac muulize wako wangapi mkuu?
Uwe unasoma kwa makini,nimekwambia jamaa yangu ndo accountancy yupo moro bana
Itamcost kvp mbali na kukosa kazi?
Ni kukosa kazi tu, maana katika upekuzi wa taasisi hiyo itaonekana yeye sio mwaminifu. Maisha na kazi katika taasisi nyingie yataendelea kama kawaida.
Poa, Chapa Nyingine anasema kuna jamaa yake kaanza mafunzo Moro, unasemaje kuhusu hilo?
Acha utapeliLabda nimuulize saiv ila sikuwa interested mana huko sikuwepo kabisa,nikijua nitakujulisha ila we subiri tu labda wanaita kwa awam
Acha utapeli
Ile ni govment agency hata km wakiamua kuita watu kwa awamu lazima wawape taarifa wengine waliofeli usaili kuhusu hatma yao
Usigeuke chanuo kazi zake mbili tuh kuchana nywelee na kusuka nywelee..
Acha utapeli
Ile ni govment agency hata km wakiamua kuita watu kwa awamu lazima wawape taarifa wengine waliofeli usaili kuhusu hatma yao
Usigeuke chanuo kazi zake mbili tuh kuchana nywelee na kusuka nywelee..
Majina ya walioitwa kazini haya hapaHabari za jioni wanajamvi.
Naomba kuuliza mwenye taarifa ya majibu ya oral interview ya pccb, mwanzoni niliambiwa wiki 2 baada ya interview sasa ni mwezi kasoro, tafadhali mwenye update atusaidie.
Nawasilisha
Wameshaita watu kazini angalia hapa majina AJIRA ZETUHabari za jioni wanajamvi.
Naomba kuuliza mwenye taarifa ya majibu ya oral interview ya pccb, mwanzoni niliambiwa wiki 2 baada ya interview sasa ni mwezi kasoro, tafadhali mwenye update atusaidie.
Nawasilisha