Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Habari zenu wana JF kuna dogo amepata kazi PCCB lakini hajapata barua ya hiyo ya call for employment ambazo, walisema wangetuma, dogo alitumia sanduku la barua la ofisi sasa imekuwa kero kila siku ananiulizia kama imefika na jana tu tumeangalia haijafika, hivyo nilitakakujua kama kuna mdau ameshapokea hiyo barua ili nimweleze dogo afuatilie kwa nanma nyingine inawezekana alikosea kuandika anwani.
Asanteni sana.
Asanteni sana.