PCCB kuna majina hayakuwemo kwenye Aptitude Test

PCCB kuna majina hayakuwemo kwenye Aptitude Test

Joined
Feb 19, 2014
Posts
1
Reaction score
0
Jaribu kupitia Majina kwa walioitwa kwenye ajira PCCB.Inasikitisha sana baadhi ya majina hayakuwemo kwenye Aptitude Test na mengine hawakuweza kabisa kufanya Oral Interview.Jaribu kufanya comparison ya majina haa kwenye Post ya Accountant.Hii ndo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa.One day they will Pay.
 
kaka unajiumiza bure. achana na vilivyopita wewe focus na kilichopo.
Ukianguka amka na endelea na safari
 
Jaribu kupitia Majina kwa walioitwa kwenye ajira PCCB.Inasikitisha sana baadhi ya majina hayakuwemo kwenye Aptitude Test na mengine hawakuweza kabisa kufanya Oral Interview.Jaribu kufanya comparison ya majina haa kwenye Post ya Accountant.Hii ndo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa.One day they will Pay.

Mie nilijua umeandika majina ambayo hayakuwemo kwenye aptitude test yameitwa kazini, kumbe unatoa assignment? Jaribu kutetea point yako kwa mifano halisi sio kutoa kazi kwa wengine. !!! Na kwa nini Uhasibu tu maana hata yalivyotoka majina ya Oral hyo kozi ndo ililalamikiwa????
 
Jaribu kupitia Majina kwa walioitwa kwenye ajira PCCB.Inasikitisha sana baadhi ya majina hayakuwemo kwenye Aptitude Test na mengine hawakuweza kabisa kufanya Oral Interview.Jaribu kufanya comparison ya majina haa kwenye Post ya Accountant.Hii ndo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa.One day they will Pay.

wafute kwa mkono mkuu
 
Jaribu kupitia Majina kwa walioitwa kwenye ajira PCCB.Inasikitisha sana baadhi ya majina hayakuwemo kwenye Aptitude Test na mengine hawakuweza kabisa kufanya Oral Interview.Jaribu kufanya comparison ya majina haa kwenye Post ya Accountant.Hii ndo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa.One day they will Pay.

Pole kwa kukosa mkuu
 
Tuache kulalamika Watanganyika wenzangu, tutambua kwenye maisha kuna kupata na kukosa, personally ninawapongeza sana PCCB walikuwa very transparent kwenye hili zoezi mie nina watu wamepata nafasi wakati hawamjui mtu hata mmoja. Tupambane tuaje Majungu na fitna
 
Tuache kulalamika Watanganyika wenzangu, tutambua kwenye maisha kuna kupata na kukosa, personally ninawapongeza sana PCCB walikuwa very transparent kwenye hili zoezi mie nina watu wamepata nafasi wakati hawamjui mtu hata mmoja. Tupambane tuaje Majungu na fitna

haya ndo matatizo ya tanzania. aliyetoa uzi katoa majina ya oral,aptitude test, na walioitwa kazini. hujafanya ulinganifu umeshaita majungu. lakini kuna mtu ametoa mfano wa jina la emanueli sizya. halipo popote (kwenye oral wala aptitude) lakini lipo kwenye walioitwa. no research no right to speak
 
Mkubwa majina yote yapo banaaa semaa tuu watu wenye marks nyingi wengi wametoswa aiseee ila majina yote yapo nimedowload kwa pdf na nimehakiki kajiana katika match search ktk pdf...majina yote yapo
 
Taasisi yA kuzuia na kupambana na rushwa. watu wakitaka kazi wanatoa rushwa daah Afrika bana
 
Back
Top Bottom