SHY TOWN PROFESIONAL
New Member
- Feb 19, 2014
- 1
- 0
Jaribu kupitia Majina kwa walioitwa kwenye ajira PCCB.Inasikitisha sana baadhi ya majina hayakuwemo kwenye Aptitude Test na mengine hawakuweza kabisa kufanya Oral Interview.Jaribu kufanya comparison ya majina haa kwenye Post ya Accountant.Hii ndo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa.One day they will Pay.