Taratibu zilifuatwa..? Kama kikao Cha nidhamu na kupewa nafasi ya kujitetea Kama hayo Hayajafanyika na Kama yamefanyika lakini sio kwa utaratibu ulioredheshwa kwenye sheria Naomba nitafute tuwapige.....
Wakili Kinawari.. +255 717 76 76 18...
Hata wewe wa huku unaweza kwenda kua RAISI wa Chama cha mawakili wa Zanzibar.. nenda Zanzibar fanya petition ya kufanya kazi za ki wakili kule then jiunge na Chama cha mawakili wa Zanzibar alafu na wewe kawe Fatuma Karume Wao
Hata law enforcers hawaruhusiwi kumpiga Raia.. Huyu Askari kwa kosa hilo ni criminal crime ambapo anatakiwa kufikishwa mahakaman kujib mashatka ya kumshambulia Raia.. Gari lake ni STJ 1062 kazi ni kwao wenye mamlaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.