Mzee wangu mwezi wa tatu wamemtaarifu kabakiza siku tisini kustaafu,yani mwezi wa saba ndo mwisho wa kazi hivo apeleke taarifa zake, anepeleka wiki ilopita wamemwambia mwajiri wako hakuweka pesa yako tangu mwaka 1998, nikwamba zaidi ya miaka 20, amekatwa pesa ila waliko peleka wanajua wao, huyu...