Je, inawezekana umeme kuwaka bila waya wa neutral?

Mimi mtaalamu wa umeme ngoja nikupe kijana vitu ili i mzunguko wa umeme ukamilke lazima kuna kitu kinaitwa electric circuit hii maanake supply ( chanzo)2,load( mzigo) and resistance (ukinzani) hii ndo inawezesha mzigo wowote ambao umepata power kwenye supply kufanya kazi unless haiwezekani .upo hapo?? Swali

Haya jibu lako kazi ya waya neutral ni nini?

Kazi ya neutral ni kurudisha umeme kwenye supply maanale hivi waya wa live unapokea unapeka kwenye mzigo(load ) then mzigo unapokea waya wa nuetral unarudisha maana lazima kuw na mzunguko electric circulation upo hapoo? Swali

Haya tatizo lako ni kwanini neutral imekatika halafu bapo umeme upo ?

Kuna mambo mawili yanaweza kuwa yametokea.

1.inawezekana neutral imekatika halafu ikawa imepata kuungana na eath waya hivyo eath kuact as neutral japo inadisturb current flow kwenye conduct na ni hatari pia kwa mzigo(load) kufamya kazi bila ulinzi mda wowote unakula hasara .swali?

2.imawezekana neutral ieweka kwenye body curcuit hivyo kupeleka uwezekana wa body kuact kama neutral fanya kucheki kwenye body kama kuna curreny flow. Swali?

Mwisho zima umeme kwenye circuit brreakerfanya mpango wa fundi aje acheki hiyo ishhu haihitaji tanesco kivilee .
 
Wasalaam wanajamvi hope mu wazima

Kichwa kha habari kinajieleza.

Labda nifafanue kidogo, asubuhi kabla sijaripoti job nimepigiwa simu na.wadau wangu kuwa Kuna shot imetokea.

Ni kweli nilipofika nimekuta kwenye main switch kumeungua vibaya sana japokuwa zile nyaya Zote tatu hazijaachana, ila ule waya mweusi neutral umekatika kabisa.

Cha ajabu umeme upo na mashine zote zinafanya kazi, je nini madhara maana kitu kiliwekwa kwa sababu maalumu.

Wataalam mnijuze neutral ina kazi gani na nini madhara isipokuwepo.

TANESCO wanapigiwa simu hawapokei maana ndio wenye jukumu la kukata umeme kwenye Transfoma.

NB: Kama hujui jambo pita tu, kejeli haziruhusiwi.
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Wasalaam wanajamvi hope mu wazima

Kichwa kha habari kinajieleza.

Labda nifafanue kidogo, asubuhi kabla sijaripoti job nimepigiwa simu na.wadau wangu kuwa Kuna shot imetokea.

Ni kweli nilipofika nimekuta kwenye main switch kumeungua vibaya sana japokuwa zile nyaya Zote tatu hazijaachana, ila ule waya mweusi neutral umekatika kabisa.

Cha ajabu umeme upo na mashine zote zinafanya kazi, je nini madhara maana kitu kiliwekwa kwa sababu maalumu.

Wataalam mnijuze neutral ina kazi gani na nini madhara isipokuwepo.

TANESCO wanapigiwa simu hawapokei maana ndio wenye jukumu la kukata umeme kwenye Transfoma.

NB: Kama hujui jambo pita tu, kejeli haziruhusiwi.
Neutral na earth zipo kwenye the same potential. Ukipima kati ya LIVE na neutral, kwa Tanzania unapata 220Vac.... na Ukipima kati ya LIVE na EARTH unapata 220Vav, na ukipima kati ya NEUTRAL na EARTH unapata 0V. Sasa hapo kwenye main switch yako, ninahisi , kama neutral imekatika, basi kuna pahala neural imeunga na earth ndani ya nyumba yako... na hivyo vifaa vyako vinaendelea kuwaka kwa kuwa connected kati ya LIVE na EARTH. Hakuna mashine itawaka kwa LIVE waya pekee kuifikia mashine hiyo, there has to be a complete circuit
 
Mimi mtaalamu wa umeme ngoja nikupe kijana vitu ili i mzunguko wa umeme ukamilke lazima kuna kitu kinaitwa electric circuit hii maanake supply ( chanzo)2,load( mzigo) and resistance (ukinzani) hii ndo inawezesha mzigo wowote ambao umepata power kwenye supply kufanya kazi unless haiwezekani .upo hapo?? Swali

Haya jibu lako kazi ya waya neutral ni nini?

Kazi ya neutral ni kurudisha umeme kwenye supply maanale hivi waya wa live unapokea unapeka kwenye mzigo(load ) then mzigo unapokea waya wa nuetral unarudisha maana lazima kuw na mzunguko electric circulation upo hapoo? Swali

Haya tatizo lako ni kwanini neutral imekatika halafu bapo umeme upo ?

Kuna mambo mawili yanaweza kuwa yametokea.

1.inawezekana neutral imekatika halafu ikawa imepata kuungana na eath waya hivyo eath kuact as neutral japo inadisturb current flow kwenye conduct na ni hatari pia kwa mzigo(load) kufamya kazi bila ulinzi mda wowote unakula hasara .swali?

2.imawezekana neutral ieweka kwenye body curcuit hivyo kupeleka uwezekana wa body kuact kama neutral fanya kucheki kwenye body kama kuna curreny flow. Swali?

Mwisho zima umeme kwenye circuit brreakerfanya mpango wa fundi aje acheki hiyo ishhu haihitaji tanesco kivilee .
Na kama main switch yake in Residual Current Device (RCD) lazima itrip
 
Wasalaam wanajamvi hope mu wazima

Kichwa kha habari kinajieleza.

Labda nifafanue kidogo, asubuhi kabla sijaripoti job nimepigiwa simu na.wadau wangu kuwa Kuna shot imetokea.

Ni kweli nilipofika nimekuta kwenye main switch kumeungua vibaya sana japokuwa zile nyaya Zote tatu hazijaachana, ila ule waya mweusi neutral umekatika kabisa.

Cha ajabu umeme upo na mashine zote zinafanya kazi, je nini madhara maana kitu kiliwekwa kwa sababu maalumu.

Wataalam mnijuze neutral ina kazi gani na nini madhara isipokuwepo.

TANESCO wanapigiwa simu hawapokei maana ndio wenye jukumu la kukata umeme kwenye Transfoma.

NB: Kama hujui jambo pita tu, kejeli haziruhusiwi.
Katika mfumo wa njia tatu za umeme/three phase,kuna coil tatu/windings,zinazozalisha umeme,hizi windings tatu kwenye transformer au genereta kila coil au winding ina ncha mbili.
Kwahiyo kuna jumla ya ncha sita.Kila winding inatoa ncha moja nje,kwahiyo jumla ya ncha tatu zinatolewa nje,ncha tatu zilizobaki zinaunganishwa pamoja,yale maungio ya ncha tatu ndio hutengeneza neutral point.Na point hii hufungwa moja kwa moja kwenye earth point kwa ajiri ya kuwezesha mifumo ya earth ground faults ifanye kazi.
Hii point ni reference point ya ncha zile tatu zilizotoka nje,ni Volt O.
Kama kila phase imebeba mkondo/current,ukijumlisha(phasor summation) mikondo yote inayopita kwenye laini tatu,zao lake ndio hupita kwenye neutral.
Kama kila phase inabeba mkondo Sawa,hii neutral point huwa haina mkondo/current kabisa.
 
Sasa kama earthing ni mbovu circuit breaker haitakata na umeme unataendelea kupotea.


Kana earthing ni mbovu au Circuit breaker (earth leakage CB) ni mbovu ndipo umeme utaendelea kupotea??--- sijaelewa mkuu.
 
Neutral na earth zipo kwenye the same potential. Ukipima kati ya LIVE na neutral, kwa Tanzania unapata 220Vac.... na Ukipima kati ya LIVE na EARTH unapata 220Vav, na ukipima kati ya NEUTRAL na EARTH unapata 0V. Sasa hapo kwenye main switch yako, ninahisi , kama neutral imekatika, basi kuna pahala neural imeunga na earth ndani ya nyumba yako... na hivyo vifaa vyako vinaendelea kuwaka kwa kuwa connected kati ya LIVE na EARTH. Hakuna mashine itawaka kwa LIVE waya pekee kuifikia mashine hiyo, there has to be a complete circuit
Well said, earth imekamilisha circuit hadi transformer ya Tanesco ie umeme unapitia ardhini hadi kwenye transformer ya mtaa wako. (Neutral ya transformer imeunganishwa na ardhi)
 
Neutral na earth zipo kwenye the same potential. Ukipima kati ya LIVE na neutral, kwa Tanzania unapata 220Vac.... na Ukipima kati ya LIVE na EARTH unapata 220Vav, na ukipima kati ya NEUTRAL na EARTH unapata 0V. Sasa hapo kwenye main switch yako, ninahisi , kama neutral imekatika, basi kuna pahala neural imeunga na earth ndani ya nyumba yako... na hivyo vifaa vyako vinaendelea kuwaka kwa kuwa connected kati ya LIVE na EARTH. Hakuna mashine itawaka kwa LIVE waya pekee kuifikia mashine hiyo, there has to be a complete circuit
Kwa nini isiwake , wakati hamna waya wowote wa neutral unaoingia katika motor.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini isiwake , wakati hamna waya wowote wa neutral unaoingia katika motor.

Sent using Jamii Forums mobile app
220Vac ni single phase mkuu... Motor unayoizungumzia ni 3 phase motor. Mto mada ametaka kujua single phase load inaweza fanya kazi ikiwa na phase pekee bila neutral? Jibu langu limejikita hapo... Hata hiyo ya 3 phase, ikipotea phase moja (single phasing) ili iendelee kufanya kazi na phase mbili, unatakiwa upunguze load to almos half its capacity
 
Bila neutral wire umeme hauwaki hata kwa bahati mbaya,kwakua umesema ulikuta kumeungua basi kuna uwezekano neutral ikawa kwenye body la mainswitch maana lile body ni la bati bati ndio mana unauona umeme unawaka.

Ila ingekua body la mainswitch n mbao naamini kwa shoti unayoiongelea umeikuta umeme usingewaka maana kuna Live tu bila neutral, sijui kazi ya neutral mimi maana umeme wenyewe nimeujua kwa kupgwa pgwa tu na mashoti ila usniulize maswali ya kitaalamu, ntakukimbia.
Hutaki tabu kabisa
 
Mimi mtaalamu wa umeme ngoja nikupe kijana vitu ili i mzunguko wa umeme ukamilke lazima kuna kitu kinaitwa electric circuit hii maanake supply ( chanzo)2,load( mzigo) and resistance (ukinzani) hii ndo inawezesha mzigo wowote ambao umepata power kwenye supply kufanya kazi unless haiwezekani .upo hapo?? Swali

Haya jibu lako kazi ya waya neutral ni nini?

Kazi ya neutral ni kurudisha umeme kwenye supply maanale hivi waya wa live unapokea unapeka kwenye mzigo(load ) then mzigo unapokea waya wa nuetral unarudisha maana lazima kuw na mzunguko electric circulation upo hapoo? Swali

Haya tatizo lako ni kwanini neutral imekatika halafu bapo umeme upo ?

Kuna mambo mawili yanaweza kuwa yametokea.

1.inawezekana neutral imekatika halafu ikawa imepata kuungana na eath waya hivyo eath kuact as neutral japo inadisturb current flow kwenye conduct na ni hatari pia kwa mzigo(load) kufamya kazi bila ulinzi mda wowote unakula hasara .swali?

2.imawezekana neutral ieweka kwenye body curcuit hivyo kupeleka uwezekana wa body kuact kama neutral fanya kucheki kwenye body kama kuna curreny flow. Swali?

Mwisho zima umeme kwenye circuit brreakerfanya mpango wa fundi aje acheki hiyo ishhu haihitaji tanesco kivilee .
Ahsante Sana mkuu,ni kwamba tatizo lilitokea kwenye chanzo nikimaanisha

Kutoka ile mita ya TANESCO basi inafuata Main switch yangu,ambayo ndio iliyoungua

Kwahiyo imelazimika TANESCO waje wakate umeme kwenye Transifoma ili fundi wangu. Aendelee na kazi ya kufunga main switch body mpya maana. Ya kwanza imeungua vibaya

Shukrani ziende kwa wadau wa jamiiforum kwa michango na ushauri mzuri na. pia kwa TANESCO wenyewe kwa kutoa ushirikiano pamoja kututafutia fundi mzuri
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
Nawashukuru Sana,wamefika na wamerekebisha
 
Back
Top Bottom