Boss wangu alinijulisha kwa mdomo kwamba natakiwa kuwa rentrenched kwa hiyo HR watanijulisha Zaidi. Siku mbili baadae, nikapewa Termination Letter ambayo inasema ajira yangu itakoma baada ya siku 28.
Nataka kujua unaweza kuwa terminated bila kufuata taratibu na bila kupewa sababu
Wazee fao la kujitoa lipo na linatolewa,nssf after six month toka umekoma ajira,but ppf it is two weeks toka umeasubmit required documents
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mdogo wangu kapa div 1 point 9,anataka kusomea medicine muhimbili,please anaejue entry requirements ya course hiyo please
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nieleweshwe kuhusu IPTL,nakumbuka mkatataba na serikali ulikuwa wa 20 years,na umeshakwisha,serikali imegomA kuhonor renewal application,je IPTL wana issue yeyote na serikali maana naona kama wanahisi hawajatendewa haki.more details please
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye sheria za manunuzi kuna kitu kinaitwa 'buyer be aware ' but if the decision of buyer is influenced by the knowledge of seller hapo buyer be aware haiwi applied
Sent from my D6653 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.