Recent content by Kimti12

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku niliyotumia dawa ya nguvu za kiume ilikuwa hatari; dont try!!

    Utakufa,,uache utamu 🤣 😂 🤣
  2. K

    JamiiForums Tanzania Muvi za upelelezi.

    Ninayo hapa.. kuiangali naona uvivu kumbe nzuri ee??
  3. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa mtazamo wangu

    Pamoja na ubaya wa wanawake lakini kutwa mpo humu kulia lia kisa wanawake,,,!
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hizi hapa dalili za Mpenzi (Mwenza) anayechepuka

    Mchepukaji pro max ee,,,,,
  5. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

    Mnunulie mavazi unayotaka wewe avae, Yawezekana una complain kuhusu mavazi kumbe hata nguo za ndan hujawahi mnunulia
  6. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri kumuokoa rafiki yangu, Huu ukarimu wa baba mwenye nyumba umepitiliza, nahisi kamzalisha mke wa rafiki.

    Yaani wewe uhakikishe mtoto ni wa rafiki yako bila mke wake kujua kweli??? Yanakuhusu nini? Kwa mfano,,, huyo jamaa akagombana na mke wake kwa unafiki wako we utapata faida gani??? Kuna watu mna roho mbaya sana aisee,,,
  7. K

    JamiiForums Tanzania Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

    Muda mwingine kukaa kimya huepusha watu kujua kiwango cha upumbavu ulicjonacho,,,,
  8. K

    JamiiForums Tanzania Killings in custody

    Mshana Jr tunasubiri muendelezo bro!
  9. K

    JamiiForums Tanzania Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

    Afu yanaoneka hata hayajatumika muda mrefu
  10. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna watu mnasababisha mikosi kwenye ndoa na familia

    Mkaushie tu endelea kufanya yako ,watajuana wenyewe,,,,
  11. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi wanawake wa hivi wamekosaga nini kwenye ndoa zao?

    Ninachokiona hata mtoa mada ni wale wale tu..huwezi kutongoza mke wa mtu kama na wewe una wako afu ujiulize amekosa nini kwa mmewe.au kwa sababu na yeye hawezi Kuja kusema huku,,,,
  12. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi wanawake wa hivi wamekosaga nini kwenye ndoa zao?

    Na mie nimejiuliza hili swali ujue,,,
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi wanawake wa hivi wamekosaga nini kwenye ndoa zao?

    Kwa hiyo huwa mnawaomba kuwapima ili mje muwanange JF?? Mnachokitafuta mtakupata aisee
  14. K

    JamiiForums Tanzania APP ya Kuficha SMS, usikamatwe na Mwenzi wako?

    Lete ya what's up Fm basi..
Back
Top Bottom