Recent content by kimsboy

  1. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    NSSF PSPF TMDA RITA NIDA TAWA
  2. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Watanzania hatuhitaji mabadiliko tunahitaji Regime Change kwa sasa

    Akili huna
  3. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Watanzania hatuhitaji mabadiliko tunahitaji Regime Change kwa sasa

    Usifananishe Iran navitu vya kijinga
  4. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Watanzania hatuhitaji mabadiliko tunahitaji Regime Change kwa sasa

    Nadhani mtakubaliana nami, sidhani kama Watanzania wanahitaji wanahitaji mabadiliko kwa sasa. Maana tukianza na mabadiliko kwanza majangili watatuchezea nakuleta lichama B maana wana watu wao kila mahali Suluhisho ni regime change kwa sasa baada ya regime change ndo mengine yafuate ikiwemo...
  5. kimsboy

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kuna mama mjamzito aliuawa kikatili Oktoba 29, 2025 kila nikikumbuka naumia sana

    Kila nikikumbuka hii kitu huwa inaniuma sana Hili tukio najitahidi kulisahau nashindwa Ile siku ya tarehe 29 usiku wake kuna dada mmoja alishikwa na uchungu ikahitajika awahishwe hosptalini Ikatafutwa gari ikakosekana kutokana na ile hali ya siku ile, wakatafuta boda pia wakakosa. Wakapata...
  6. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ana elimu gani?

    Ana elimu ya hapa na pale
  7. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Marekani yaomba Ceasefire kwa masaa 48, Iran yakataa

    US naona kazidiwa ameomba Ceasefire ya masaa 48 Iran amekataa Sasa ndo naelewa kwanini Iran tangu mwanzo walisema kwamba ikitokea vita kati yao na Marekani yeye Iran ndo ataamua hatma ya vita ⚡️BREAKING The U.S. has asked Iran for a 48-hour ceasefire, but Tehran has refused United States is...
  8. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndege nyingine yaangushwa usiku huu US A-10 warthog

    🚨 BREAKING: 🇮🇷🇺🇸 A second U.S. aircraft, an A-10 Warthog, went down near the Strait of Hormuz, though the pilot was recovered safely. This happened around the same time a F-15E was shot down over Iran. 🇮🇷 Bad day for the USAF Today's reported incidents: 🔸F-15E (48th Fighter Wing) — Shot down...
  9. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Ndege ghali za kivita za Marekani sasa zaanza kuangushwa Iran

    Hongera kwa kuanza kutoa habari bila kuegemea upande wowote
  10. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Kisa ni mtoto wa Rais ndo muagizaji wa mafuta nchini

    Kabisa
  11. kimsboy

    JamiiForums Tanzania Kisa ni mtoto wa Rais ndo muagizaji wa mafuta nchini

    Mtoto wa Rais Samia na mkwe wake na mtoto wa mstaafu wa awamu ya nne ndo waagizaji wakubwa wa mafuta nchini kutokea India na Uarabuni Nchi yetu imekua corrupt na ya hovyo au kwasababu wao viongozi huwekewa mafuta bure? Mafuta lita 4000 bado tunaagiza mafuta India tu na Saudi Kwanini tusinunue...
Back
Top Bottom