Hapo ndo unazidi kuprove kwamba wewe ni mchanga sana na hujui lolote kuhusu mambo ya kijeshi na nina wasiwas na elimu yako
Unajua makombora yanabeba kichwa vita kwa ukubwa tofauti yapo yanayobeba kichwa vita kidogo tu...Yapo yanabeba vimlipuko hadi vya kilo 20 mpaka 30 na yapo yanabeba mlipuko...
Yale makombora ya Iran ni akili za majambia si eti🤣
Vipi kuhusu DRC, BURUNDI,CAR, MSUMBUJI NA MALAWI ambako hawana akili za madrasa kama unavyodai wanayo ballistic missile technology ya kiwango gani vile?
Wewe ndo huelewi kabisa
Hivi unajua cost za kuweka bases mahali? Ujenge kambi uweke wanajeshi magharama kibao VS mtu anayeshambulia moja kwa moja kwa kutuma makombora
Kutumia makombora unasave gharama kubwa sana.....Ndo maana unaona Iran wanafanya hivyo.....Kagoogle gharama za kutuma F-35 iende...
Sio kweli.....kitu ni hicho hicho tu maana hata hao US wanachofanya sahivi wanarusha makombora kutokea Pwani za UAE na kutokea kwenye base zao zilizo jirani na Iran......
Kutumia aircraft carrier na ndege ambazo ni gharama na ni very risky wakati una icbm za kutosha hiyo ni red flag.....Hawana intercontinental missile huo ndo ukweli....Wakisema zitaleta madhara makubwa huo ni uwongo maana tofaut yake na medium ni umba.li tu wakufika lakini vingine vinaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.