Hapa sizungumzii wachaga wa Machame, Masama, Hai hadi Siha ambao wengi ni waislam
Nazungumzia wachaga waislam kutoka Rombo, Marangu, Kibosho na Old Moshi, na Uru na maeneo mengine ya nchi ya Uchagga
ukuwakuta hawa ni wachamungu balaa wameshika dini sana
Tupe exprience yako ushawahi kuwaona pia?
Sikuhizi hadi nashindwa kuandika,madudu niliyojionea, nikuwaza hadi naskia uchungu na kulia kabisa
Honestly nchi inapigwa hii infact hatuna viongozi kabisa
Laiti mngejua mngeuangana wote bila kuangalia vyama nianzie wapi kusema?hii nchi inanuka uozo mnoo siku nakuja na uzi hapa hamtaamini...
Hawa wapuuzi Israel sijui ni maajent?Imagine Iran na US ilikua wasaini dili la amani leo au kesho ili maisha duniani yarudi kama mwanzo
Mafuta na gesi vingeshuka ila Israel kaharibu tena mambo kapiga Beirut
Israel ni mabingwa wa kuanzisha chokochoko katika kivuli cha kujifanya wanaonewa
Kiko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.