Recent content by kimsboy

  1. kimsboy

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Wazayuni weusi wakiongozwa na echolima Echolima kizee cha hovyo huu uzi watapita kama hawauoni
  2. kimsboy

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Hatuzungumzii nyuklia tunazungumzia icbm nyuklia hata Pakistan na kiduku wanazo
  3. kimsboy

    Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

    Huyu mtusi kwa majivuno hajambo apeleke kwanza umeme vijijini
  4. kimsboy

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Unayajua madhara ya IRBM wewe?
  5. kimsboy

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Hapo ndo unazidi kuprove kwamba wewe ni mchanga sana na hujui lolote kuhusu mambo ya kijeshi na nina wasiwas na elimu yako Unajua makombora yanabeba kichwa vita kwa ukubwa tofauti yapo yanayobeba kichwa vita kidogo tu...Yapo yanabeba vimlipuko hadi vya kilo 20 mpaka 30 na yapo yanabeba mlipuko...
  6. kimsboy

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Yale makombora ya Iran ni akili za majambia si eti🤣 Vipi kuhusu DRC, BURUNDI,CAR, MSUMBUJI NA MALAWI ambako hawana akili za madrasa kama unavyodai wanayo ballistic missile technology ya kiwango gani vile?
  7. kimsboy

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Wewe ndo huelewi kabisa Hivi unajua cost za kuweka bases mahali? Ujenge kambi uweke wanajeshi magharama kibao VS mtu anayeshambulia moja kwa moja kwa kutuma makombora Kutumia makombora unasave gharama kubwa sana.....Ndo maana unaona Iran wanafanya hivyo.....Kagoogle gharama za kutuma F-35 iende...
  8. kimsboy

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Sio kweli.....kitu ni hicho hicho tu maana hata hao US wanachofanya sahivi wanarusha makombora kutokea Pwani za UAE na kutokea kwenye base zao zilizo jirani na Iran......
  9. kimsboy

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Sio kweli hata hizo MRBC za Iran even short range zina uwezo wa kubeba vichwa vya nyuklia kwahiyo reason wanayotoa haina mashiko....
  10. kimsboy

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Kutumia aircraft carrier na ndege ambazo ni gharama na ni very risky wakati una icbm za kutosha hiyo ni red flag.....Hawana intercontinental missile huo ndo ukweli....Wakisema zitaleta madhara makubwa huo ni uwongo maana tofaut yake na medium ni umba.li tu wakufika lakini vingine vinaweza...
  11. kimsboy

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Aaaah wapi....Impact wanashindwa hata kulenga kambi za Iran?US ni waongo tu
  12. kimsboy

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Hollywood ilitudanganya sana
  13. kimsboy

    Huenda Marekani hata hayo makombora ya masafa marefu hana!!

    Kwenye moab sibishi, maana wana yale ya GBU yanabomoa hadi bunker busters Ila kwenye icbm mhh
Back
Top Bottom