Nadhani mtakubaliana nami, sidhani kama Watanzania wanahitaji wanahitaji mabadiliko kwa sasa.
Maana tukianza na mabadiliko kwanza majangili watatuchezea nakuleta lichama B maana wana watu wao kila mahali
Suluhisho ni regime change kwa sasa baada ya regime change ndo mengine yafuate ikiwemo...
Kila nikikumbuka hii kitu huwa inaniuma sana
Hili tukio najitahidi kulisahau nashindwa
Ile siku ya tarehe 29 usiku wake kuna dada mmoja alishikwa na uchungu ikahitajika awahishwe hosptalini
Ikatafutwa gari ikakosekana kutokana na ile hali ya siku ile, wakatafuta boda pia wakakosa.
Wakapata...
US naona kazidiwa ameomba Ceasefire ya masaa 48 Iran amekataa
Sasa ndo naelewa kwanini Iran tangu mwanzo walisema kwamba ikitokea vita kati yao na Marekani yeye Iran ndo ataamua hatma ya vita
⚡️BREAKING
The U.S. has asked Iran for a 48-hour ceasefire, but Tehran has refused
United States is...
🚨 BREAKING:
🇮🇷🇺🇸 A second U.S. aircraft, an A-10 Warthog, went down near the Strait of Hormuz, though the pilot was recovered safely.
This happened around the same time a F-15E was shot down over Iran.
🇮🇷 Bad day for the USAF
Today's reported incidents:
🔸F-15E (48th Fighter Wing) — Shot down...
Mtoto wa Rais Samia na mkwe wake na mtoto wa mstaafu wa awamu ya nne ndo waagizaji wakubwa wa mafuta nchini kutokea India na Uarabuni
Nchi yetu imekua corrupt na ya hovyo au kwasababu wao viongozi huwekewa mafuta bure?
Mafuta lita 4000 bado tunaagiza mafuta India tu na Saudi
Kwanini tusinunue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.