Emu acha hizo bhana, unajua ni nn alichokimaanisha, emu watanzania tuache kujifanya wajuzi wa mambo na hatuhitaji msaada isipokuwa akili zetu.
Hata kama una uhakika wa jambo kwa 90% omba ushauri kwa watu uangalie upande mwingine ambao huenda akili Yako haikuwaza kwa wakati huo.
Wengi...
Ndugu, kama huyu jamaa aliyoyaandika nikweli yanamuhusu ww hukupaswa kuandika hivi,
Maana hata kama ikiwa nikweli anao usikute ukaanza kuandikiwa wewe hiyo R.I.P kabla yake
Hakuna mahala cdf amesema Kuna watu walitaka rais Samia asiapishwe, Bali alisema kulikuwa na mvutano wa wakati Gani aapishwe eidha baada au kabla ya mazishi,
Acha unafiki
Napoleon,
Umeandika huu Uzi wakati sahihi sana kwangu, Niko kwenye huu mchakato na nipo tatafuta A,B,C mbalimbali za namna ya kuingia kwenye business
Nimefanya business na kufeli mara 3, safari hii nataka niingie kivingine,
Asante mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.