Recent content by Kimori2015

  1. K

    Yaliyojiri katika Uchaguzi wa Udiwani kata 27 na Matokeo - Feb 9, 2014

    By W. J. Malecela - Matokeo ya Chaguzi za leo Taifa zima ni CCM Kata 24 Chadema 3, Kata zote zilikuwa 27 kabla ya uchaguzi wa leo Chadema walikuwa na Kata 4 leo wameptoza I, - Nafikiri kwa mwenye akili hahitaji kuambiwa ona au sikia ujumbe ni mzito sana hapo kwamba Helikopta hazikusaidia na...
  2. K

    Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

    ???? Karibu mjini umetoka wapi???????????
  3. K

    Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

    Msandooooooooooooooooooooooooo ooo! Ndiye wakili maarufu kwa sasa Tanzania. Kuwabwaga mawakili wawili maarufu Kibwatala na Tundu Lissu si suala la mchezo TULIA WEWE MAMA ACHA KELELE , LISU ALISHAONA MBALI SANA ALISHATANGAZA ZZ ATAENDELEA KUWA MBUNGE NA MWANACHAMA WA CDM KWA SABABU YA MAHAKAMA...
  4. K

    Unafiki huu wa wanaharakati (CHADEMA), kiboko

    Unafiki wa ccm ni huu kabla ya kifo cha baba yetu mzee dr waziri wa pesa, ccm walisema ni miongoni mwa mawaziri mizigo baada ya kifo tumepoteza mtu muhimu sana??? Connect ze dot, then kajipange uje na majibu acha kuangalia cdm wanafanya nini yako ya kuvua gamba yaliishia wapi cdm inafanya kweli...
  5. K

    Yaliyojiri Mahakama Kuu: Usikilizwaji wa UAMUZI wa pingamizi la Zitto dhidi ya CC ya CHADEMA

    By kennedy zzk kwisha habari yake akaungane na hamadi rashidi, david kafulila sasa,, :flame:Mkuu wakiungana hao watashindwana kila mtu anataka uwenyekiti hahahahaa hatareeee!!!
  6. K

    Yaliyojiri Mahakama Kuu: Usikilizwaji wa UAMUZI wa pingamizi la Zitto dhidi ya CC ya CHADEMA

    inaelekea ni mzuri sana kwa mipasho huoni MM alivyojidhalilisha anapigwa chini anavimba juu yeye anamshambulia TL au AM?? unaulizwa swali na mtu humjibu unaanza kutoa mipasho kama uliyajua hayo tangu 2005 ukawa kimya si ni un.....fiki!
  7. K

    Hii ndiyo michango ya Zitto, Mbowe na Lema Bungeni

    We acha ujinga umesahau lema mlikuwa mmembambikizia kesi?? aliyoshinda kwa yule mama yenu buriani? Lema Jonathan Godbless Chadema Questions (1) Supplementary question (2) Contributions (12) Mwenye macho haambiwi tazama, hatudanganyiki
  8. K

    Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

    Tujikumbushe 2010 MM aliporomoka sana jaribu kuangalia kura zilizopigwa jimboni ni 47309,mgombea wa CCM alipata kura 18416 na MM alipata 23000 kwa huyo wanayemuita shujaa anajua khali ilivyo si kweli kwamba anatakiwa kigoma kiivyo hata yeye analitambua hilo ndo maana anaona hawezi kugombea tene...
  9. K

    My friend Zitto Kabwe

    Thanks nimeona umekuja na (UNAFIKI Unatawala Bavicha) hahahahaaa hapo buku saba wote watajaa!!
  10. K

    My friend Zitto Kabwe

    Teh! Teh! Teh! ZeMarcopolo, you see your juniors cant comment anything!! they real need buku 7!! help them with another Swahili Topic Please.
  11. K

    Website ya CHADEMA ina matatizo gani?

    Kwanza nianze na kukupapole kwa yanayoendelea juu yako ni upepotu yatapita, Naomba ujulishe umma wa watanzania ambao tunanianjema yakusikia kauli ya PAC ieleweke Tanesco ipo Chini ya PAC je PAC mmebariki bei hiyo?? Tunaomba uje humu utujibu nasikia umesafiri kidogo ukiwa hukohuko Ukerewe...
  12. K

    Mwigamba: Sitoki wala siombi radhi. Atoa ufafanuzi kuhusu Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013

    Naona hawajamaa wanakwepakwepa tu ukiona hivyo ujue wameshikwa pabaya sanaaaa Big up Lissu Muqway!!
  13. K

    Mwigamba: Sitoki wala siombi radhi. Atoa ufafanuzi kuhusu Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013

    Nionavyo: Hawa Kina Mkumbo na Mwigamba wanamlinda ZZK kwa maslahi kwani ndiyo anayepewa mlungula na kuwagawia wao inabidi wamlinde sana kwani ili aendelee kuwalisha kwani fedha inayotoka Lumumba inapitia kwake, Pia kwa wao kung'anga'ania chama ni ili wazidi kuvuruga, nimemsikiliza ZZK jana...
  14. K

    Mwigamba: Sitoki wala siombi radhi. Atoa ufafanuzi kuhusu Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013

    Mwigamba, Umejidhaliliasha sana yani nakumbuka ule utani wa mmasai mahakamani anajitetea kwa kusema wakati unanikamata nilikuwa nimevaa nguo gani? Nyeusi? Mh Hakimu nilikuwa nimevaa Nyekundu !! Akidhani kuwa akijitetea hivyo atashinda kesi kumbe na wewe Mwigamba unajidhalilisha kwa kusema waraka...
Back
Top Bottom