Recent content by kimokoi86

  1. K

    Kama hii habari imeandikwa na Mganda, Watanzania Tuwe makini

    Pia mashekh wetu wa "uamsho" wanaendelea kusota tusiache pia kupiga kelele.haki ipatikane.
  2. K

    Miswada mitatu(3) ya kujadili masuala ya madini na maliasili yafikishwa Bungeni kwa hati ya dharura

    Kibiti kuna hatari kubwa aisee inahitaji mjadala wake pia,wale jamaa wana connection na al shabaab.
  3. K

    Kauli za viongozi mbalimbali kuhusu mwanafunzi atakayepata mimba

    Kuna maamuz mengine ya Rais anakuwa right sana.kama suala hili LA mimba za mashulen.litawafanya wanafunz kuacha dhambi hii mbaya ya uzinifu.binafsi naunga mkono.
  4. K

    Ester Bulaya kupambana na polisi kumsaidia Mnyika

    Ndugai ni kibaraka.
  5. K

    Uvamizi wa Clouds: Nape amjia juu Makonda

    Kwani Rais ni nani
  6. K

    VIDEO: Msanii Roma na wenzake warejea rasmi uraiani. Kufunguka Jumatatu

    Yule jamaa amepigwa sana aisee alikuwa na maumivu makali kwa kumtizama.ni mbaya sana.yote yana mwisho haya.
  7. K

    Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

    Huu ni muda wa kuwa wamoja.tukigawanyika tunampa adui yetu nguvu.
  8. K

    Wabunge 10 wa CCM kesho wana ziara ya kuitembelea Clouds Media

    Wewe unatetea uharamia..? ni tasnia ya habari imevamiwa sio clouds peke yake
Back
Top Bottom