Recent content by kimo_mcharo

  1. kimo_mcharo

    Tanzania yakumbwa na uhaba wa wanaume zaidi ya milioni moja

    Du! Lakini si kuna makabila na dini zinaruhusu kuoa mpaka wake kumi,shida iko wapi
  2. kimo_mcharo

    Serikali: Kila mtanzania atapaswa kumiliki laini moja ya simu, ukitaka ya pili unaomba TCRA

    Kidogo kidogo tutaambiwa kila mtu awe a gari moja na ukitaka kuongeza mpaka upate kibali,itahamia kwenye nyumba,alafu itaishia kwenye wake. Utapaswa kupata kibali ukitaka kuongeza mke na uwe na sababu za msingi. Wacha tu tuone picha inaishia wapi.....
  3. kimo_mcharo

    MWANGA: Wilaya ya kishamba zaidi katika mkoa wa Kilimanjaro

    We kwenu wapi? Ulifika hapo Mwanga ukakutana na watu kijiweni wakakupa story ukapigia mustari. Ulifika Ugweno ama Usangi? Ulifika kwenye hospitali uliyoiponda ya wilaya?Uliona watu waliochoka kiuchumi kama wa huko kwenu? Huna utafiti wa maana uliofanya unakurupuka tu mzee. Mimi kwetu ni Usangi...
  4. kimo_mcharo

    Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

    Kuku wa kroiler ana kilo 3.5 anauzwa 25,000/= alafu kuchi kilo 3.5 anauzwa 200,000/=. What is so special with kuchi? Nyama yao ina virutubisho zaidi ya kuku wengine?
  5. kimo_mcharo

    Bodi ya Mikopo(HESLB) waachia majina ya wadaiwa sugu kuanzia mwaka 1994 hadi 2014

    Kuna watu wanakatwa hela ya bodi ya mikopo na hawajawahi kukopa,jiulize hapo.
  6. kimo_mcharo

    Mwanafunzi wa IFM apigwa risasi 4 na mtu anayesadikiwa kuwa ni askari

    Watu wengi wanaochangia mada hawajasoma hata habari yenyewe manake wanaongea vitu tofauti na habari yenyewe.
  7. kimo_mcharo

    Mtanzania aliyetengeneza Chopa aalikwa South Africa

    Eti pawe na mhandisi aliyebobea katika kutengeneza helicopter amsimamie, Tanzania kuna mhandisi anaweza kuunda helcopter? Masharti mengi kiasi kwamba ukiwa na ndoto zako zinazimika mara moja. Ati badala ya serikali kuonesha ushirikiano na kumhamasisha wamekaa kwenye computer wanachapa barua...
  8. kimo_mcharo

    Kijiji kimoja huko Indonesia hufukua maiti kila mwezi Agosti

    Hii nchi si ndio ina waislam wengi kuliko nchi yoyote duniani? Wanakubalije haya mavitu ya ajabu?
  9. kimo_mcharo

    Alama ya Mwenge kwenye Jina la Magufuli nini maana yake?

    CCM ni ileileeeeeee....ooooo ni ileileeeeeeeeee x2
  10. kimo_mcharo

    Alama ya Mwenge kwenye Jina la Magufuli nini maana yake?

    Mwenge ni alama ya kishetani,unajua wananchi tulikuwa tumefungwa na hatuuoni ulimwengu,imefika mahali sasa kila kitu kimewekwa hadharani,ndio sasa tunasema alaaa kumbe...nani alijua hili wakati tulikuwa tunaaminishwa kuwa mwenge unatumulikia mipaka yetu ndani na nje,Na kwa kuwa ni ibada kila...
  11. kimo_mcharo

    Kwa wasiomjua Magufuli, Je, anafaa kuwa Rais?

    Sasa kwa hesabu za kawaida na kwa siasa za Tanzania Magufuli ni rais,na tunamjua kwa utendaji wake wa kazi na jinsi anavyosimamia mambo yake,kama mmepishana naye watu wa Biharamulo ni huko huko Biharamulo,msingemruhusu aje kulitumikia taifa,kwetu sisi ndio Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  12. kimo_mcharo

    UPDATES: Mgomo wa Madereva - Maeneo mengi nchini usafiri ni shida! Mei 04, 2015

    Vipi serikali imesemaje leo?Au kesho kinaamka kama kawa?
  13. kimo_mcharo

    Kware: Ufugaji bora wa Kware, Na faida ya bidhaa zitokanazo na Kware

    Mimi niwajuavyo kwale ni ndege wa porini na nishawahi kuwala sana kwa kwatega shambani,wako very shy na wanakimbia sana wanapoona mtu karibu,najiuliza wanakaaje bandani bila kutoroka? Na unaweza kuwaachia kama kuku wa kienyeji?
Back
Top Bottom