Ni mara chache binadamu huupokea ukweli kutoka kwa mwenzake na hasa ukweli wa kuwa humtaki. Anza leo kuwa mkweli kupita kiasi utajikuta mahali pabaya halafu uje uniambie. Katika dunia hii binadamu huishi kwa unafiki. Ni punguani tu ndiye anayeweza kuwa mkweli kwa kila kitu itakuwa wewe kumnyima...
Kama watu watashawishiwa na kujitoa dakika za mwisho, uchaguzi hauahirishwi isipokuwa mgombea akifariki dunia. Kama la kujitoa likitokea itakuwa inadhihirisha zaidi kuwa serikali ikiundwa na watu hao itakuwa ya kisanii kweli kweli. Kila siku watu hawatajua kesho kesho kutatokea nini. Hata...
Wewe mwenyewe umesema haiwezekani kubadili nyekundu kuwa njano, mwenzio ameshapata ulaji wewe unaulizia CV ya nini? Nani alikwambia CV za uongozi au vigezo ni zile unazofikiria wewe ili uzihakiki na halafu iweje. Nenda kale ugali wako ukalale ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe. Unajichelewesha...
Jadilini hoja ya msingi, suala tajiri na dini yake tuliache na halituhusu alimradi shughuli zake sio za kidini. Orodha ya matajiri na dini zao hazituhusu kwa hiyo tupuuze wote wenye kupeleka mjadala kusiko. Naipongeza kampuni ya Azam kwa ubunifu wa biashara zake.
Jamii zinazofuata ukoo kwa mama zao zinathibisha usahihi wa uzao wa mtoto kuwa ni wa familia ile. Mtoto hana utata wa mama yake mzazi isipokuwa baba anaweza asiwe wa familia ile pamoja na kuwa watu watakuwa wanaelewa kuwa ndiye mume halali wa mke fulani. Kwa jamii hizi urithi katika mali au...
Our attitude towards accountability is not focused strongly on life saving in many areas such as licenses, traffic police, passengers and bus owners. God save us!
Nani alijua kama Mwinyi au Mkapa enzi hizo wangepata urais. Angalau Kikwete alikuwa anasemwasemwa. Sasa Membe huwezi kujua bwana hata Obama alitarajiwa kugombea mwaka 2017 lakini kaukwaa mapema zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.