Watu wanahangaika huko mahospitalin kutetea uhai huku wengine wanauchezea uhai kama kuna nafasi nyingine ya kupewa uhai hapa Duniani. .Tuwe makini sana kwenye kufanya maamuzi wadau kabla ya kufanya jambo
TATIZO WATU HAWATAKI KUELEWA. .YAAN KWA USAWA HUU KUTOKA KITAA KWENDA JW NI NGUMU. .LABDA ITOKEE WATAFUTE WATU MAALUMU WA PROFESSIONAL FULANI NDO WANAWEZA CHUKUA MTAAN NA HASA KAMA UMEPITA HYO YA MUJIBU. .AU KAMA UNA CHANNEL INAYOELEWEKA HUKO MAJUU. .LA SIVYO PAMBANA KITAA UTATOKA TUU. .HYO YA...
Mara nyingi wanachukua kambini huko jkt. .kuna watu huko wana zaidi ya miaka miwili. .ww umepiga mujibu wa sheria 3 months ukasepa afu upate chance kirahisi tu....
NA KWA SASA HAKUNA NJIA YA MOJA KWA MOJA KWENDA JW..LABDA KAMA WAO WENYEWE WANAHITAJI WATAALAMU WA FANI FULANI NDO WANAWEZA CHUKUA 1KW 1 TOKA KITAA. .NA MARA NYINGI LAZIMA UWE USHAPITIA JKT.
Sent using Jamii Forums mobile app
NADHANI KUNA VITU HUA HATUVIFAHAMU VZURI; JESHI HUA HALINA FORMULA. KWENDA JKT SIO TIKETI YA KWENDA JW.MAANA MKATABA WA JKT HAUONESHI KAMA NI LAZIMA UAJILIWE. .LENYEWE LINAFUNDISHA UZALENDO NA UWEZO WA KUJIAJILI.
UTAKUA NA UHAKIKA WA AJIRA KAMA JESHI NDO LIMEKUHITAJI
JKT MKATABA WAKE HUA NI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.