kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Nakumbuka nilipokuwa mdogo nilisumbuliwa sana na sikio lakini mama alinitibu na mafuta ya kuku na mara alipoyamimina tu sikioni,hata kama linauma vipi,linaanza kutulia kabisa.Hakukuwa na pharmacy na wala zahanati haikuwa na dawa za sikio.Mafuta ya kuku ni kiboko ya magonjwa ya sikio!