Rais naye ni wale wale tu. Ina maana hana njia zingine za kupata ukweli kama mtangulizi wake alivyokuwa anapima mapapai, mbuzi COVID-19? Yeye akiletewa anapokea na kuhutubia tu.
Mie naona cha muhimu ni kuwa na katiba ya haki na mihimili huru ya dola. Kuanzia upatikanaji wa viongozi wake hata utendaji wao. Mengine hayana madhara sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.