Recent content by Kimikaki

  1. K

    Andrew Chenge achukua fomu ya kugombea Uspika. Fahamu kuhusu wasifu wake

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  2. K

    William Lukuvi anaandaliwa kuwa Spika wa Bunge la JMT?

    😂😂😂😂😂😂😂 hapo ndipo alipokanyaga gunzi
  3. K

    Waziri Makamba: Siku mbili zijazo nitatoa Suluhisho la kudumu la Umeme nchini na tatizo tunalolipitia sasa halitajirudia tena!

    Nchi ngumu hii acheni. Dah, doria ya muda mfupi, suluhisho la kudumu.
  4. K

    Tulitaka kutengenezewa ukame bwawa la Mtera, tupazeni sauti tukiona ndivyo sivyo

    Rais naye ni wale wale tu. Ina maana hana njia zingine za kupata ukweli kama mtangulizi wake alivyokuwa anapima mapapai, mbuzi COVID-19? Yeye akiletewa anapokea na kuhutubia tu.
  5. K

    Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 18, 2021. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2021

    Wajukuu au vitukuu vyake watakuja kulipa matunda ya dhuluma na uonevu wao.
  6. K

    Mwalimu Nyerere aliona mbali madhara kuruhusu kabila kubwa kushika madaraka ya Urais

    Mie naona cha muhimu ni kuwa na katiba ya haki na mihimili huru ya dola. Kuanzia upatikanaji wa viongozi wake hata utendaji wao. Mengine hayana madhara sana.
  7. K

    Mwalimu Nyerere aliona mbali madhara kuruhusu kabila kubwa kushika madaraka ya Urais

    😂😂😂😂 mbona wa push-up.............!!!!!!!!!!!
Back
Top Bottom