"Sisi Wazalendo" Tunasema Jenerali Ulimwengu Ameshanunuliwa na Mafisadi, Bring Back Our Jenerali

Chige

JF-Expert Member
Dec 20, 2008
13,497
29,832
Raia Mwema.png


Huo ni "UONGO" wa wazi...

Jenerali Ulimwengu ameshanunuliwa na Mafisadi ili wapate sababu za kuuza umeme wa IPTL na Symbion huku wakihujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!! Sote tunafahamu jinsi Jenerali Ulimwengu alivyokuwa na chuki na Rais wetu kipenzi, Mheshimiwa John Pombe Magufuli, kwahiyo hatuwezi kushangaa kuona gazeti lake linatumika ili kujaribu kuua legacy yake!!

Au mnasemaje Wazalendo wenzangu akina TUJITEGEMEE na macho_mdiliko, na Kichuguu ?!

Au anamuogopa Ndugai ambae sote tumesikia majuzi wakati Ndugai akimpiga mkwara General!!!

All the best GUYS...

It's my Year End Holiday Time...

See y'all in 2022 if am not dead!!
 
View attachment 2021454

Huo ni "UONGO" wa wazi...

Jenerali Ulimwengu ameshanunuliwa na Mafisadi ili wapate sababu za kuuza umeme wa IPTL na Symbion huku wakihujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!! Sote tunafahamu jinsi Jenerali Ulimwengu alivyokuwa na chuki na Rais wetu kipenzi, Mheshimiwa John Pombe Magufuli, kwahiyo hatuwezi kushangaa kuona gazeti lake linatumika ili kujaribu kuua legacy yake!!

Au mnasemaje Wazalendo wenzangu akina TUJITEGEMEE na macho_mdiliko, na Kichuguu ?!

Au anamuogopa Ndugai ambae sote tumesikia majuzi wakati Ndugai akimpiga mkwara General!!!

All the best GUYS...

It's my Year End Holiday Time...

See y'all in 2022 if am not dead!!
Uzalendo gani unazungumza kama sio Utopia, ukweli huu mchungu magufuri hakuacha legacy yoyote ila alijitahidi kuonesha tu uthubutu kwenye baadhi ya mambo. Ujenzi wa miondombinu sio legacies hizo coz hata watangulizi wake walisimamia ujenzi wa miondombinu nyingi Sana. Legacies mara nyingi huwa ni misingi ambayo uhai wa taifa unasimamia, kwa mfano baadhi ya misingi ya azimio la Arusha kama Umoja wa kitaifa mpaka leo imekuwa ndio tunu yetu ya Taifa. Ulinzi wa rasilimali za Taifa ni jukumu la kila mtu ambae ana mapenzi mema na taifa lake.

Nchi yetu inakabiliwa na ukame maeneo mengi tuombe mwenyezi Mungu aliongoze kwenye mapito haya. JPM was an individual hakuwa Tanzania hayupo sasa nchi yetu lazima iende bila kufanya uchonganishi wala shutuma za kudhania. Tofautisha chuki ya mtu na chuki ya nchi ni vitu viwili tofauti. Jenga taifa lako kwa mtizamo chanya, timiza wajibu wako wakiraia Tanzania inaitaji mchango wako wa mawazo mazuri sio majungu na fitina
 
View attachment 2021454

Huo ni "UONGO" wa wazi...

Jenerali Ulimwengu ameshanunuliwa na Mafisadi ili wapate sababu za kuuza umeme wa IPTL na Symbion huku wakihujumu Mradi wa Bwawa la Nyerere!! Sote tunafahamu jinsi Jenerali Ulimwengu alivyokuwa na chuki na Rais wetu kipenzi, Mheshimiwa John Pombe Magufuli, kwahiyo hatuwezi kushangaa kuona gazeti lake linatumika ili kujaribu kuua legacy yake!!

Au mnasemaje Wazalendo wenzangu akina TUJITEGEMEE na macho_mdiliko, na Kichuguu ?!

Au anamuogopa Ndugai ambae sote tumesikia majuzi wakati Ndugai akimpiga mkwara General!!!

All the best GUYS...

It's my Year End Holiday Time...

See y'all in 2022 if am not dead!!
Mkuu Chige , hoja hupingwa kwa hoja na sio kwa viroja!.
Gazeti limeripoti, hapa umetuletea heading tuu and not contents, kisha unasema kilichoripotiwa ni uongo.

Unapokanusha kuwa kitu fulani ni uongo, kwanza bring the contents tuone hilo gazeti limeripoti nini, kisha upangue uongo wao kwa kuweka ukweli wako.

Huu mtindo wa kusema negatives kwa blanket statements, nimetoka kuusema juzi humu,
ukituhumu , weka na facts na sio kwa blanket statements.

P
 
Mkuu Chige , hoja hupingwa kwa hoja na sio kwa viroja!.
Gazeti limeripoti, hapa umetuletea heading tuu and not contents, kisha unasema kilichoripotiwa ni uongo.

Unapokanusha kuwa kitu fulani ni uongo, kwanza bring the contents tuone hilo gazeti limeripoti nini, kisha upangue uongo wao kwa kuweka ukweli wako.

Huu mtindo wa kusema negatives kwa blanket statements, nimetoka kuusema juzi humu,
ukituhumu , weka na facts na sio kwa blanket statements.

P
Umenena vyema mkuu. johnny Mtembezi anakuhusu
 
Umenena vyema mkuu. johnny Mtembezi anakuhusu
Huu ndio uzuri wa spirits, kwanza absorption inaazia puani kwenye harufu tuu, kisha mdomoni, ndio maana uki sip, unakaa nayo kidogo mdomoni to enjoy the aroma.

The rythim is fast, unalewa haraka na unalala fasta, na kilevi cha pombe zinatoka zote, zikiisha kata katikati ya usiku , unaamshwa na nausea, unakunywa maji, sasa ndio unalala usingizi wako, ukiamka asubuhi uko fresh.

Mimi huwa nikiamka kunywa maji, silali tena, muda huo ndio nashukaga jf.
P
 
Hata kama ukame upo, lakini sio kuruhusu miradi mikubwa ya gharama kubwa kama LNG ya $ 30bil. ianze, kama ikianza muhimu mkataba uwekwe wazi ijulikane hizo pesa zitatoka wapi, zitalipwaje kwa muundo upi, na kwa muda gani.

Tusilishane maneno mengi huku tukikwepa vitu vya msingi na kuzuiana kuhoji kwa sababu za kitoto, kupiga kelele kila siku kuna ukame.. kuna ukame.. hakutoshi, mipango iliyopo iwekwe mezani tuulizane maswali yajibiwe vizuri ndio mambo mengine yaendelee, tumeshapigwa sana.
 
Hela za Christmas tayari zimepatikana na zimepigwa mgao. Samia mungu anakuona na majaliwa pia.
 
Jenerali Ulimwengu ni mwenzao tangu enzi zile za kina Rostam Aziz.
Anapiga kama kawaida,halafu nasikia Kubenea ndio mhariri wa hicho kipeperushi kwa sasa.
Kwa hali hiyo ni wazi sasa ni visasi kwa kwenda mbele!
 
Jenerali Ulimwengu ni mwenzao tangu enzi zile za kina Rostam Aziz.
Anapiga kama kawaida,halafu nasikia Kubenea ndio mhariri wa hicho kipeperushi kwa sasa.
Kwa hali hiyo ni wazi sasa ni visasi kwa kwenda mbele!
Duh kazi tunayo wa tz
 
Mkuu Chige , hoja hupingwa kwa hoja na sio kwa viroja!.
Gazeti limeripoti, hapa umetuletea heading tuu and not contents, kisha unasema kilichoripotiwa ni uongo.
C'mon Paskali,

You're better than this! Hivi kabisa unaamini nilichoandika?! It's sarcasm! Usisahau wakati ule kuna kundi la watu lililokuwa linapinga suala la ukame, na wakawa wanasema hizo ni Mbinu za kutaka kuua legacy ya Magufuli!

Kwamba, wanatangaza kuna ukame ili wapate sababu ya kuachana na Mradi wa Bwawa la Nyerere ili hatimae kuzima legacy hiyo ya Magu!!
 
Back
Top Bottom