Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,711
- 6,033
Haya makabila yasahau urais kisa Nyerere alisema? acheni utoto.1.Wasukuma
2.Wachaga na jamii yake,
3.Wanyamwezi,
4.Wanyakusya,
5.Wahehe.
6.Wahaya
Haya makabila yasahau urais kisa Nyerere alisema? acheni utoto.1.Wasukuma
2.Wachaga na jamii yake,
3.Wanyamwezi,
4.Wanyakusya,
5.Wahehe.
6.Wahaya
Unaweza kutusaidia alisemea wapi kaka au kama ni kitabu ni kipi aliandika habari hii?Kati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.
Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.
Logout.
Nadhani maisha yanabadilika, kwa wakati ule inawezekana alikuwa sahihi, ila kwasaizi naona haina mantiki sanaAlimaanisha makabila yenye ubinafsi kama wachaga! Wasukuma ni generous sana majority of them na wana misimamo haswaa!
Wala inakuwa haina hasara kama kabila hilo ni dhaifu katika uelewa (hawana shule) wasukuma hawana kitisho chochote maana wao na shule ni maji na mafuta hata walioenda shule wameshindwa kubadilika!!! Tena kabila dogo linaweza kuwa na impact kubwa endapo lina ellites wa kutosha,,,,Makabila makubwa yaliyomtisha Nyerere ni Wahaya na Wachaga alijua moto wao kama wangeshika nchi maana wamekamilika kila Idara.Wasukuma,wamasai nk ni dhaifu sana pamoja na wingi waoKati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.
Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.
Logout.
wachaga ni kabila kubwa? au ukubwa unauongelea ni kwa vigezo gani? wachaga hawana hata wilaya zaidi ya 3? hata wanyakyusa, wahehe na wangoni siyo wengi hivyo. labda useme makabila yenye ukabila. ukiniambia wasukuma ni wengi haina ubishi, hawa wamejaza mikoa kadhaa. sasa kabila halijajaza hata mkoa moja eti kabila kubwa? labda uzungumzie umaarufu ktk elimu, biashara na ukabilaNadhani kwa wakati ule inawezekana ilikuwa na mantiki, ila binafsi sioni kama lina mashiko eti Rais asiwe Mnyakyusa, Mchaga, Mhehe, Mngoni au kabila lolote kubwa, hayo ni mawazo mgando
wachaga ni kabila kubwa? au ukubwa unauongelea ni kwa vigezo gani? wachaga hawana hata wilaya zaidi ya 3? hata wanyakyusa, wahehe na wangoni siyo wengi hivyo. labda useme makabila yenye ukabila. ukiniambia wasukuma ni wengi haina ubishi, hawa wamejaza mikoa kadhaa. sasa kabila halijajaza hata mkoa moja eti kabila kubwa? labda uzungumzie umaarufu ktk elimu, biashara na ukabilaNadhani kwa wakati ule inawezekana ilikuwa na mantiki, ila binafsi sioni kama lina mashiko eti Rais asiwe Mnyakyusa, Mchaga, Mhehe, Mngoni au kabila lolote kubwa, hayo ni mawazo mgando
Kwamba Nyerere alimaanisha nn au ametafsiriwa vibayawachaga ni kabila kubwa? au ukubwa unauongelea ni kwa vigezo gani? wachaga hawana hata wilaya zaidi ya 3? hata wanyakyusa, wahehe na wangoni siyo wengi hivyo. labda useme makabila yenye ukabila. ukiniambia wasukuma ni wengi haina ubishi, hawa wamejaza mikoa kadhaa. sasa kabila halijajaza hata mkoa moja eti kabila kubwa? labda uzungumzie umaarufu ktk elimu, biashara na ukabila
Tatizo siyo kabila, ila mfumo unaonfanya rais kuwa Mungu mtu. Kukiwa na taasisi imara kama, bunge, mahakama n.k rais hawezi kufanya atakavyo.Kati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.
Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.
Logout.
Hivi umauhakika na unachoandika wasukuma na shule ni maji na mafuta? Wewe akili huna na unajua ukweli nenda mashuleni na vyuoni ukawaone wasukuma walivyo wengi! Mie niko migodini nje ya nchi huku waengineer wasukuma na matechnician ni wengi ahalafu unatuletea ngonjera!Wala inakuwa haina hasara kama kabila hilo ni dhaifu katika uelewa (hawana shule) wasukuma hawana kitisho chochote maana wao na shule ni maji na mafuta hata walioenda shule wameshindwa kubadilika!!! Tena kabila dogo linaweza kuwa na impact kubwa endapo lina ellites wa kutosha,,,,Makabila makubwa yaliyomtisha Nyerere ni Wahaya na Wachaga alijua moto wao kama wangeshika nchi maana wamekamilika kila Idara.Wasukuma,wamasai nk ni dhaifu sana pamoja na wingi wao
😂😂😂😂 mbona wa push-up.............!!!!!!!!!!!Kweli aisee. Kipindi cha mwendazake ghafla Wa-push wote wakawa wanaccm. Unajua nilishangaa sana.
Nyerere aliona mbali sana na sikuwah Kujua hawa jamaa ni wakabila hivKati ya vitu ambavyo Hayati Nyerere alivipinga sana ni pamoja na kabila kubwa kushika madaraka ya urais na hili alikuwa na sababu kubwa sana ambazo tumejidhihirisha katika kipindi cha awamu ya tano.
Nadhani wahusika mmejifunza pia na hamtarudia tena makosa mliyoyafanya miaka mitano iliyopita kwa sababu madhara yaliyotokana na hilo bado yapo na yanaendelea kuitesa Serikali ya awamu ya sita, nadhani wenye uelewa mzuri wameelewa.
Logout.
Hamna kitu msukuma na shule wapi na wapi!! watu wachache sana usukumani wameenda shule wengi wao kazi kunya vichakani,,,Hata walioenda kama wewe hamna lolote,Mtu kama Kalemani ana nini cha kuogofya,,,Makabila alosema Nyerere ni Wahaya na WachagaHivi umauhakika na unachoandika wasukuma na shule ni maji na mafuta? Wewe akili huna na unajua ukweli nenda mashuleni na vyuoni ukawaone wasukuma walivyo wengi! Mie niko migodini nje ya nchi huku waengineer wasukuma na matechnician ni wengi ahalafu unatuletea ngonjera!
Nadhani maisha yanabadilika, kwa wakati ule inawezekana alikuwa sahihi, ila kwasaizi naona haina mantiki sana
Hao wahaya na wachaga wana nini cha kuogovywa? Kumbe wewe ndo umejaa ukabila kwa kuwadharau wasukuma! Kwa taarifa yako huna cha kuwafanya na kwenye system wapo mpaka mwisho wa dunia! Hivi siku hizi kuna mtu anahangaika na mhaya au mchaga tuko nao mtaani njaa kali hawana kitu! Saizi maisha ya kusema wasukuma wanakunya vichakani umeenda kahama,katoro mwanza ukakosa vyoo?Hamna kitu msukuma na shule wapi na wapi!! watu wachache sana usukumani wameenda shule wengi wao kazi kunya vichakani,,,Hata walioenda kama wewe hamna lolote,Mtu kama Kalemani ana nini cha kuogofya,,,Makabila alosema Nyerere ni Wahaya na Wachaga
Tabia za watu hujengwa na mila na desturi za jamii husika.
Hao wahaya na wachaga wana nini cha kuogovywa? Kumbe wewe ndo umejaa ukabila kwa kuwadharau wasukuma! Kwa taarifa yako huna cha kuwafanya na kwenye system wapo mpaka mwisho wa dunia! Hivi siku hizi kuna mtu anahangaika na mhaya au mchaga tuko nao mtaani njaa kali hawana kitu! Saizi maisha ya kusema wasukuma wanakunya vichakani umeenda kahama,katoro mwanza ukakosa vyoo!Hamna kitu msukuma na shule wapi na wapi!! watu wachache sana usukumani wameenda shule wengi wao kazi kunya vichakani,,,Hata walioenda kama wewe hamna lolote,Mtu kama Kalemani ana nini cha kuogofya,,,Makabila alosema Nyerere ni Wahaya na Wachaga
Ndiyo wanaondoka mdogomdogo tu mwisho mtajikuta mmebakia kona ya bwiru tu
Wasukuma wote tunaamini alikuwa ni msukuma hata particular zake amekuwa akiandika yy ni Msukuma siasa za kishenzi pelekeni kaskazini