Recent content by kimidadi

  1. kimidadi

    Msaada: Nahitaji kikundi ili nipate bima ya afya ya NHIF

    Njoo ujiunge na Saccos yetu inaitwa Mchikichini Saccos ina program ya bima ya afya ya NHIF, ofisi zipo nyuma ya soko la mitumba karume
  2. kimidadi

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Hii inaweza kunifikia kwa bei gani mkuu Use One Computer Intel Core I7 Series Four Generations All In One Pc - Buy All In One Pc,All In One Barebone Pc,All In One Barebone Pc Product on Alibaba.com
  3. kimidadi

    Wizi wa kijinga sana unafanyika Mwanza

    Ukisoma vizuri utaelewa.... Nahisi ukamuelewa jamaa
  4. kimidadi

    Mfumo dume ndio suluhisho kwa mahusiano ya kileo

    Mfumo dume unastawisha nyumba tuendelee kuutumia wanaume naunga mkono hoja.
  5. kimidadi

    Natangaza kiama kwa huyu daktari uchwara

    Unamfanyia mwanamke vitu vikubwa sana katika maisha, unamlipia Ada ya chuo sijui na vitu vingine vitu katika maisha na bado anacheat na kutojali nini unafanya katika maisha yake. Na bado unataka kutumia nguvu nyingi kutaka kuwadhuru wengine wanaocheat na mwanamke wako.. Huyu mwanamke ni...
  6. kimidadi

    Nahitaji Chumba na Sebule Buza Kanisani, Dsm

    Nimesubiri weeeeeee mpaka nimechoka aisee
  7. kimidadi

    Karibu Jeri Car Wash & Service kwa huduma nzuri za gari lako

    Mkuu una mashine ya Efd hapo??
  8. kimidadi

    Kiwanja kinauzwa 45*40 kitonga mbande bei nafuu sana

    Punguza kidogo bei mkuu.... Laki 300,000 ni hela nyingi sana kwa ukubwa huo wa kiwanja...
  9. kimidadi

    Nahitaji Chumba na Sebule Buza Kanisani, Dsm

    Wakuu habari zenu poleni na mihangaiko ya hapa na pale ya kujikwamua na maisha haya ya kukaza kwa vyuma... Niende katika kusudio langu, nahitaji chumba na sebule mitaa ya buza kanisani. Bajeti yangu ni tshs 70,000 nyumba iwe na maji na umeme.. 0684248723
  10. kimidadi

    Samsung Home Theatre for sell

    Watakuja mkuu wasubiri huko huko[emoji1] [emoji1]
  11. kimidadi

    Samsung Home Theatre for sell

    Laki 150,000 ni bei nzuri utauza fasta....
  12. kimidadi

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Waliofanya mapinduzi Tunisia na katika nchi zote zilikuwa zinaongozwa na madikteta ni walalahoi hawa hawa unaowasema wewe... Jiandae kuwa mkimbizi ulaya [emoji23][emoji23][emoji23]
  13. kimidadi

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Waliofanya mapinduzi Tunisia na katika nchi zote zilikuwa zinaongozwa na madikteta ni walalahoi hawa hawa unaowasema wewe... Jiandae kuwa mkimbizi ulaya [emoji23][emoji23][emoji23]
  14. kimidadi

    Bakhresa group punguzeni udini

    Na hivi ndivyo jinsi tunavyotumia hizi social network Watanzania..... Tutaigawa hii nchi vipande kwa ishu za udini..
Back
Top Bottom