ichenjezya
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,010
- 1,118
Habarini wana JF,
Nahtaji bima ya afya ya NHIF kwa ajili yangu binafsi sipo kwenye ajira, nilienda NHIF nikaambiwa kwa mtu binafsi inatakiwa kama 1.5M hivi, lakini nikaambiwa kama nina kikundi kilichosajiliwa naweza kupata bima hiyo kwa 78,000/-, tatizo sipo kwenye kikundi chochote.
Naomba msaada kama kuna mtu anafahamu kikundi kilichosajiliwa anipe msaada ili nijiunge nao ili nipate hiyo huduma, nipo Dar.
Ahsante!
Nahtaji bima ya afya ya NHIF kwa ajili yangu binafsi sipo kwenye ajira, nilienda NHIF nikaambiwa kwa mtu binafsi inatakiwa kama 1.5M hivi, lakini nikaambiwa kama nina kikundi kilichosajiliwa naweza kupata bima hiyo kwa 78,000/-, tatizo sipo kwenye kikundi chochote.
Naomba msaada kama kuna mtu anafahamu kikundi kilichosajiliwa anipe msaada ili nijiunge nao ili nipate hiyo huduma, nipo Dar.
Ahsante!