Habari wandugu. Naomba kujua kama askari wa usalama barabarani wako juu ya sheria?
Leo asubuhi nikiwa natoka nyumbani kwangu, umbali kama wa kilomita moja tu kutoka kwangu nilisimamishwa na askari wa trafiki namba F 8548 (pichani) akiwa na mwenzake mwenye tochi, kosa ni overspeed. Sikuwahi...
Unaweza kuwa na shule kubwa lakini lakini usiwe na fahamu wa kuelewa mambo. Hawa ndugu waliotoka Geita wamebeba ujumbe mioyoni mwao na wanauwasilisha kwa kuvaa magunia kuonyesha kuwa wamechoshwa na ufisadi, wizi wa rasilimali na fedha za uma na mambo mengine kama hayo kibao yanayofanywa na...
Hata mfalme Daudi kwenye Biblia alichukua mke wa askari wake, akamweka jamaa mstari wa mbele vitani akauawa ili aendelee "kula bata" hata leo mabosi wengi wana style iyo
Kiongozi wa dini alieamua kuingia kwenye siasa hawezi kukemea dhambi kwa kuwa siasa ni mchezo mchafu. Ndiyo maana hata Mtume Paulo kabla hajakutana na Yesu alikuwa mtumishi mwaminifu wa serikali ya Rumi wakati huo akiitwa Sauli. Lakin baada ya kuanza kimtumikia Mungu aliachana na siasa
Yap... Ndivyo ilivyo kwamba kiongozi wa dini aliyebeba siri za Mungu alafu ajikite kwenye politics ameshapoteza mwelekeo na haezi kutumika tena na Mungu, kitakachoendelea ni uzoefu wa theolojia na sio ufunuo mpya toka kwa Mungu
Ki ukweli Siasa na Dini ni sawa na mafuta na maji, haviwezi kuchanganyika pamoja. Viongozi wa dini tuwaongoze watu kuijua njia ya Mungu na tuwaache wanasiasa na propaganda zao. Mtumishi alieitwa kumtumikia Mungu kiukweli hajihusishi na siasa kwa kuwa ni mchezo mbovu. Ukijiingiza kwenye siasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.