Mkuu kama unavyo ona apo hata mimi yananirusha roho na ndio maana nimeleta kwenye jukwaa lipi sahihi la mh Jafo au katibu soma vizuri utaona utofauti nilioelezea kwenye vipengele vya sekondari na msingi
Habari wana Jf.. kuna matangazo mawili yanasambaa mtandaoni Kuhusiana na ajira za ualimu liposuction linatoa ruhusa kwa mwalimu mwenye bachelor kuomba nafasi shule ya msingi na lingine limeondoa hicho kipengele kitu ambacho kinaleta wasi wasi kwa waombaji kuhofia kuomba sehemu isiyokua yao...
Habari ndugu wana Jf kuna.... kuna matangazo mawili yanasambaa mtandaoni Kuhusiana na ajira za ualimu lingine linatoa ruhusa ya waalimu wenye bachelor kujaza shule ya msingi na lingine halina icho kipengele kimeondolewa na kuwekwa sekondari wasi wasi wangu ni kwamba unaweza kujaza sehemu isiyo...
Naomba kujua kuhusu wale walioenda kama mujibu wa sheria miaka ya nyuma wanaweza kuomba tena kujitolea maana katika tangazo linasema asiwe amepitia mafunzo ya jkt na pia kupita jkt miaka ya nyuma ni kupoteza sifa ya kujiunga na jkt .....nawasilisha
kero zipo sana lakini kwa sio kumpa magufur awatumbue wanajisikia sana hawa ma bursar hata udoso ambao ndo serikali ya wanafunzini c waoni wakitake actions yoyote nawasiwasi na hawa watendaji lazima wanafanyakazi ya shangaz yao si kwa college zote nasema na hawa wa socio science and humanities
ma bursar wa schss ni majipu makubwa haya uongoz wa chuo hebu tumbueni hudumu wanazotoa ni mbovu hasa kwenye usajir kuna idadi kubwa ya wanafunz wanakata tamaa na usajir kutokana kauli zao za matuc
hii ishu ya matokeo baadhi tumeifanya two weeks ago!! so how comes watu process baada ya budget kutumik kwa first year pia wao wakiona unavigezo vya kupewa before hawaja tuma hela hizo waombe matokeo chuo kwani wato kwaajili ya nan? m naboreka sana na utendaji wao toooo lazzzyy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.