Kutoka kwenye Facebook wall ya Professor Jay................
"Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONY @moni_ centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na...
Bado natafakari nini kilimsukuma JPM hadi akaomba msikiti. Hivi Tanzanzania tuna uhaba wa misikiti? Itatokea katika utawala wake atakuja kuomba msaada wa kujengewa kanisa? ............ nawaza tu!
Bombardier Commercial Aircraft announced today that the Government of Tanzania has signed a firm purchase agreement for two Q400 turboprop airliners. The aircraft will be delivered with a 76-seat, dual-lavatory configuration and will be used for commercial airline operations in the region...
Dady Igogo ni mhadhiri wa somo la Kiswahili katika Chuo Kikuu Cha Kikatoriki cha Iringa (RUCU) zamani kikijulikana kama (RUCO).
Sijajua kabla ya hapo alikuwa wapi.
Akiongea na umati wa wakazi wa iringa mjini uliofika kumsikiliza katika viwanja vya mwembetogwa, msigwa alisema kuwa zamani ccm walikuwa wakiwanunua wapiga kura kwa kofia na t-shirts; lakini siku izi kutokana na presha wanayoipata kutoka CHADEMA, CCM wananunua wapiga kura kwa bodaboda. Hivyo...
Anaitwa Tikatika Kilave, ni mwenyekiti wa mtaa wa wazo A kata ya Mkwawa. Ameamua kujivua gamba muda huu kwenye mkutano ulioitishwa na mh Peter Msigwa ili kuongea na wananchi wake. aluta continua...!
Ufuska kwa huyu ALHAJ PROFESSOR ndio jadi yake, nawashangaa sana wanaohangaika kumtetea.
Kama ALHAJ anaudhalilisha uislamu; pia kama PROFESSOR aidhalilisha elimu yake; na kama mbunge anaidhalilisha hadhi yake na pia chama chake. SHAME ON HIM!!!
Kwani kaka unaelewa nini kuhusu neno ELIMU? Elimu ya mwenyekiti wako ndio inayomwezesha kuongoza? mbona cuf inaongozwa na professor lakin haina cha maana? GROW UP KID!
Akihojiwa na shirika la utangazaji (BBC) kuhusu mchakato wa katiba unavyokwenda, Filikunjombe amewalaumu wabunge wenzake wa CCM kwa kuutumia wingi wao vibaya na hivyo kushindwa kuwawakilisha vema wananchi.
Pia amewaonya wabunge wa CCM kuacha kumpotosha rais katika utendaji wake kwa kuitumia...
Safi sana!!! hiyo ndio dawa ya watu wanaojidai hawana akili wakati wanazo. Nadhani huu utaratibu anaotaka kuuanzisha Lissu unafaa kusapotiwa, inabidi tuanze kuutumia upumbavu wa hawa magamba kwa faida. Kadri watakavyoona upumbavu wao unawagharimu ndivyo akili zitakavyoanza kuwasogea taratibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.