Mbeya waendelea na mgomo kutofungua maduka

Geofrey Andrew Sanga

JF-Expert Member
Apr 8, 2013
251
55
Hapa jijini mbeya wafanya biashara jijini mbeya wameendelea na mgomo wa kutofungua maduka wakigomea mashine za TRA na wengi wakijiuliza kwanini wawekezaji wasamehewe kodi sisi tunafungiwa mashine za kutukamua mbaya zaidi tununue wenyewe tena bei ya juu laki nane 800000 haiingii akilini hata hivyo wengi wanaapa kuwa wataonyesha hasira kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa chini naomba kuwasilisha ushahidi wa picha
 

Attachments

  • Img00037.jpg
    Img00037.jpg
    42.5 KB · Views: 63
  • Img00038.jpg
    Img00038.jpg
    38.3 KB · Views: 59
  • Img00041.jpg
    Img00041.jpg
    46.6 KB · Views: 57
  • Img00043.jpg
    Img00043.jpg
    45 KB · Views: 49
  • Img00045.jpg
    Img00045.jpg
    47.5 KB · Views: 51
Hiyo ya kuonyesha hasira kwenye saduku la kura sio ya kweli. Kesho tu akienda kinana na nape watayasukuma magari yao na kufadhili ujio wao.
 
Mwekezaji anatoa 10% so usishangae,,hii nchi kituko sana yaani mtu anakuja kuwekeza iwe mgodini au hotel anapewa msamaha wa kodi aangalie km Biashara ina faida au la, lakini Machinga ukifungua duka lako tu ushalipia vitu kibao TRA kabla hata hujaanza Biashara yenyewe.
 
Hapa jijini mbeya wafanya biashara jijini mbeya wameendelea na mgomo wa kutofungua maduka wakigomea mashine za TRA na wengi wakijiuliza kwanini wawekezaji wasamehewe kodi sisi tunafungiwa mashine za kutukamua mbaya zaidi tununue wenyewe tena bei ya juu laki nane 800000 haiingii akilini hata hivyo wengi wanaapa kuwa wataonyesha hasira kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa chini naomba kuwasilisha ushahidi wa picha

Yule ---- aliyepost juzi kati kuwa wafanyabiashara wa Mbeya walimwita Mwigulu genius yuko wapi?
 
Back
Top Bottom