Mkuu, tumekuelewa ahsante, hii message ni kwa woote wanoendesha magari, sio binafsi tu. La mhimu zaidi ni kuzidisha umakini maana wewe utafuata sheria zote atakuja mwehu mmoja akakumaliza. Kila la kheri
Hapa tabu imekuja baada ya muundo wa hotuba ya ufunguzi wa bunge maalumu. Hapa nilitarajia /tulitarajia hotuba ya ufunguzi ambayo si kuchambua hoja za rasimu iliyowasilishwa na jaji Warioba.
hichi ndicho kilichokuwa kikiitwa na AG seremonial speech?
hivyo bwana zito hotuba hiyo ya mzee wako...
Sio lazima kupost, unaweza kuchangia kwa wenzako wanaopost kamba za kueleweka afu ukaongeza idadi za post na rep
power. Kamba haieleweki mamdenyi!! review
Huyo ndiye anaukabila mkubwa kuliko maelezo, eti anaondoka kwa sababu ya Kitila ambaye ni kabila lake, anataja pia mwigulu ambae pia ni wa kwao. Hakuna haja ya kutangaza watu kama hawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.