[emoji23] [emoji23] [emoji23] Oooh sorry! sikujua kama umeipenda kiasi hicho mpaka unasema "Au ulitaka iende wapi?"
But Rais2020 hukua na sababu ya kusema "llipaswa ipelekwe puani kwako?" coz hicho kitu hakipo wala hakiwezekani, ongea vitu vyenye maana.
[emoji116]GOT FROM ANOTHER FORUM[emoji116]
DANGERS OF ANOINTING OIL AND WRISTBANDS
In the spiritual world anointing oil, water or any other object is given to members to establish contact with the demonic world.These objects which are a symbol of a covenant with satan are to be worn around the...
Wala halitoachwa hata neno moja katika haya uliyoyaandika, lazima itapatikana hukumu yake.
Usiwe unachangia tu mradi kufurahisha genge, hakikisha unayoyaandika unahakika nayo hasa anapozungumziwa mtu fulani especially mtumishi wa MUNGU yeyote.
Mkuu mambo ya rohoni yana ushindani sana, Pia swala la ndoa ni swala la kiMungu.
Mambo ya kamwe hayaendi kikamilifu kama hakuna maombi.
Shetani aliiona nia yako tangia mwanzo na kazi yake ni kuharibu mambo yasiende kama yalivyopangiliwa ndio maana tunamshinda kwa maombi.
Mkuu hapo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.