Kashindwa sababu ya kua lazima mmoja ashinde si kwa kua Wanaharakati mchwara wamepiga kelele... wasitake kujipa umuhimu usiostahili.
Wangefanikiwa na ile petition ya kumuondoa kwenye kinyang'anyiro hapo ndio tungejua wananguvu ila ushindi wa Burna Boy wao wasijitafutie umaarufu usiowahusu
Nilikua naota hizo ndoto kwa miaka kadhaa mara ya mwisho ilikua 2017. Baada ya hapo zikakata baada ya kufanyiwa dua... ila nilikua ninapaa kwenye ndoto Ethiopia Airlines nyuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.