Duh imeisha hiyooo.. Diamond vp TenaBurna Boy Ametangazwa ndio MSHINDI wa Bet Award katika Mashindano Ambayo Msanii Diamond Platnum alikuwa Anashiriki na Kuangukia Pua
====
Hatimaye mshindi wa tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act’, atajwa kuwa ni Burna Boy.
Burna Boy ametajwa kushinda tuzo hiyo usiku wa kuamkia leo Juni 28, 2021 ambapo kilele cha utoaji tuzo hizo umefanyika, nchini Marekani.
Ushindi wa msanii huyo kutoka Nigeria, unamfanya awabwage washindani wake waliokuwa wakichuna katika kipengele hicho akiwemo Diamond Platnumz kutoka Tanzania na Wizkid kutoka nchini Nigeria.
Wengine waliokuwa katika kipengele hicho ni Aya Nakamura (Ufaransa),Emicida (Brazili), Headie One (Marekani) Young T & Bugsey (Marekani) na Youssoupha (Ufaransa)
Vilevile hii inakuwa mara ya tatu kwa Burna Boy kushinda kipengele hicho kwani alishachukua tuzo tena mwaka 2019 na 2020.
Tuzo za BET zilianza kutolewa mwaka 2001, zinazoandaliwa mahususi kwa ajili ya kusherehekea mafanikio ya kazi za Wamarekani weusi katika sanaa ya muziki, uigizaji, michezo, zinatolewa usiku wa leo huko nchini Marekani.
View attachment 1833052
Pia soma:
na wewe ni masikini anaemchukia Mondi?Kwanini asikukishe wewe kahaba?
Sasa ccm itatoka madarakani kwa kumchukia diamond kweli?Huu umasikini wa wabongo chanzo chake ni CCM kung’ang’ania madaraka kwa zaidi ya miaka 60
Sasa ccm itatoka madarakani kwa kumchukia diamond kweli?Chimbuko la umaskini na unafiki wa watanzania ni ccm.
Mlishindwa kuchapisha kura za kutosha kumpa Diamond ushindi wa 98%?Sasa ccm itatoka madarakani kwa kumchukia diamond kweli?
Hili swali unaniuliza mimi au hao BET wenye hilo shindano?Mlishindwa kuchapisha kura za kutosha kumpa Diamond ushindi wa 98%?
Kwani techics za duplicate hamkuwafundisha?Hili swali unaniuliza mimi au hao BET wenye hilo shindano?
Unawauliza kina nani hilo swali?Kwani techics za duplicate hamkuwafundisha?
Kashindwa sababu ya kua lazima mmoja ashinde si kwa kua Wanaharakati mchwara wamepiga kelele... wasitake kujipa umuhimu usiostahili.Hayawihayawi mliokuwa mnawabeza wanaharakati mkuje mbadili gia angani
View attachment 1833340View attachment 1833346
Licha ya Kwenda na Tale mzee wa kudele lakini haikusaidia kitu.Mlishindwa kuchapisha kura za kutosha kumpa Diamond ushindi wa 98%?
Baada ya tabia halisi za kijana wetu huku nyumbani kuwafikia wapiga kura ndipo upepo ukageuka.Kashindwa sababu ya kua lazima mmoja ashinde si kwa kua Wanaharakati mchwara wamepiga kelele... wasitake kujipa umuhimu usiostahili.
Wangefanikiwa na ile petition ya kumuondoa kwenye kinyang'anyiro hapo ndio tungejua wananguvu ila ushindi wa Burna Boy wao wasijitafutie umaarufu usiowahusu