Recent content by kimara Kimara

  1. kimara Kimara

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kupata mkopo wa biashara kwenye benki kubwa NMB, CRDB & NBC

    Habari wananzengo, Naomba kuuliza Je ni Muda gani Mtu anapewa mkopo kama amekidhi vigezo vyote vya kukopesheka, ie ana dhamana, ana biashara iliosajiliwa, Bank statement zake ziko vizuri ?? Naomba kujua
  2. kimara Kimara

    JamiiForums Tanzania Video: Taharuki yaibuka duka la simu baada ya mteja kulalamika kauziwa simu yenye matatizo huku wauzaji wakikanusha

    biashara ya vifaa vya umeme hasa Used/refurbished inatakiwa uwe na roho ngumu sana
  3. kimara Kimara

    JamiiForums Tanzania Toyota Rumion bila kuiinua haiwezi kutumika Bongo, ni gharama kiasi gani kuipandisha juu?

    kwanini ununue gari ambayo umesema haitumiki bongo
  4. kimara Kimara

    JamiiForums Tanzania Nipeni ushauri kabla sijachimba shimo la choo la kisasa?

    Haha nilichimba la kawaida na fundi alikosea akavuka mipaka akaingia kwa jirani. Yani Balaa
  5. kimara Kimara

    JamiiForums Tanzania Weka ujumbe wa kibiashara kwa njia ya sauti, mtu akikupigia

    Safi sana
  6. kimara Kimara

    JamiiForums Tanzania Ni bora kumlipa muuzaji kamisheni au mshahara ?

    Mshahara ni vizuri zaidi, Pia Muwekee kamisheni ili kumpa motisha zaidi
  7. kimara Kimara

    JamiiForums Tanzania Nimekosea kuandika maelezo hapo, nimeandika maandamano, je inaweza kuniletea shida

    Mdogo wangu kaniomba pesa kidogo anunue matumizi kujiandaa na tarehe 9, Huwenda kukawa na Curfew. Nimemtumia Pesa kwa Njia ya Kibenki na maelezo hapo nimejisahau nimendika "MAANDAMANO" JE INAWEZA KUNILETEA SHIDA JAMANI?
  8. kimara Kimara

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama ile 'Curfew' ya Siku 3 hadi 4 tulikoma Kimaisha mitaani, je, tunapojiandaa kwa Maandamano ikiwekwa nyingine Kubwa tutajiweza Kimaisha?

    Shenzi, Tarehe 09 tutakuja kukutoa kwa nguvu uingie mtaani kuandamana, Tunataka kuchukua nchi, Tunataka kukomboa nchi kutoka kwa mkoloni mweusi
Back
Top Bottom