Yaani kuna watu wanaumiza kichwa kwa maisha ya mtu poh wee mtu hebu Fanya kazi iliyokupeleka kazini wengine wametumwa kufanya kazi za ziada ilikupata hbr
Pole yaani yy hajui chochote afu umsomeshe kila mtu anachaguo lake ikiwa haupo mwenye chaguo lake afu mkataba umeingia na mlezi wake unahatari ww. Msomeshe kwa kumsaidia tu sio uje uoe hiyo nikama unacheza biko
Ulichofanya sio sahihi sasa we we kaoe jini ndo aliyekamilika we mwenyewe hukosi yako na hata Huyo utakaye mpata atakuwa hajakamilika tena unaweza on a bora ya wa sasa
Hongera my kwa ujasiri niwatu wachache wenyekuweza hayo Mimi mwenyew natafuta mwenza wa kufa na kuzikana ila naona aibu kutangaza hahahhaha. Sasa kupitia kwako naomba nitangaza nahitaji mume mwenye upendo wa dhati serious hakuna kuchakachua mpk ndoa hahahhaha awe mwislam au awe tayari kubadili...
Yaani wana ndoa wote wanao Fanya mapenzi kinyume cha maumbile hawana ndoa mwenyezi mungu anaifutà mnabaki wanzinzi tu. Niligundua mpenzi wangu ndio michezo yake hiyo nilimwacha fasta sitaki ujinga mbele ya tigo shabashi fukuza huyo kashalaaniwa
Jamani na Mimi in mwathirika wa wivu lol ninawivu sana ile kauli chapekee yako labda kaburi nimeshidwa mpk saizi Nina miaka 30 sijaolewa sababu ya wivu nataka awe wangu tu hahahaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.