Nataka kuongeza mke wa pili

Nataka kuongeza mke wa pili

Hi JF.

Nina mke mmoja kutokana na majukumu tuliyonayo nimejadili na mke wangu niongeze mrembo kisura sana.

Awe na sifa zifuatazo;
1.Mpenda maendeleo.
2.Maji ya kunde.
3.Asiwe mwembamba sana.
4.Mpole
5.Awe tayari kuhudumia mifugo.
6.Kilimo
7.Hakuna binti mbaya hata ukipaka Nivea Revlon si mbaya.
8.Koni napenda sana.
9.Asiwe kiburi
10.Picha yako itanivutia nikutafute ulipo
11.Elimu la saba au form 4
12.Tutaishi wilayani Korogwe Tanga
Hapo unatafuta mfanyakazi sio mke lol
 
Haah!haaaa Namshukuru Mungu kila niingiapo Jf.Hakika mazingira ya Jf yanavutia..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom