Recent content by Kimagege

  1. Kimagege

    Karume alikuwa wapi wakati Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar?

    binafsi nimeona namna ambavyo Nyerere alichanganya udongo huku Karume haonekani alipo.jambo hili ni hatari.ufafanuzi unatakiwa.
  2. Kimagege

    Gazeti la Mwananchi lapotezea tamko la Marando

    Unategemea waipe kipaumbele wakati Mhariri wao ni mmoja wa watu waliotajwa?
  3. Kimagege

    Waziri Sitta achongewa kwa Lowassa

    binafsi nimesoma kwa kina tuhuma anazotoa mbunge wa bunge la afrika mashariki mh. Shyrose banji dhidi ya waziri sitta na kujiridhisha kuwa huo ni sehemu ya mkakati wa lowassa kutafuta uraisi wa 2015 na wala hakuna hoja yoyote inayojengwa kwa misingi ya iwajibikaji wala uzalendo.ukisoma maelezo...
  4. Kimagege

    Tuwe macho; mfuko uitwao "ukwasi" una tofauti na deci?

    Nimeona wakiutangaza huu mfuko katika kituo cha ITV na wanadai kuwa unapata mahela mengi fasta ndani ya kipindi kifupi sana. Binafsi sioni tofauti yake na deci iliyowatapeli watu na kutokomea kusikojulikana huku kesi iliyofunguliwa pale Kisutu ikiwa imetoweka kiaina. Kwa wanaofahamu zaidi...
  5. Kimagege

    Sakata la maji: Serikali ya JK yafuata kwa Mnyika

    huyo ndio bwana zaifu.
  6. Kimagege

    Sakata la maji: Serikali ya JK yafuata kwa Mnyika

    hii ni baada ya kuchachafya kwa kasi na mbunge Mnyika kule bungeni.sasa JK anasema wataruhusu sekta binafsi kuwekeza kwenye sekta ya maji.
  7. Kimagege

    Swali; hivi kesi ya "mtesaji" wa ulimboka nayo ni ya kigaidi?kama sio kwanini?

    naomba tafadhali mwenye taarifa sahihi kuhus kesi inayomkabili yule kijana wa kikenya aitwaye joshua atueleze kama kesi yake nayio ni ya kigaidi kama hii inayomkabili nlwakatare.
  8. Kimagege

    Utata kesi ya Lwakatare: Polisi wamchomoa Ludovick Segerea na kukaa nae kwa siku mbili wakimhoji

    . Anatakiwa kuhojiwa kwa lugha ya Kiingereza ili mkanda huo upelekwe kwenye vyombo mbalimbali vya kimataifa kama vile Balozi mbalimbali na hata kwenye mataifa hayo kwa nia yakuichafua chadema kimataifa kuhusiana na hoja ya Ugaidi.
  9. Kimagege

    Nahisi harufu ya DAMU!!

    Join Date : 21st March 2013 Posts : 15 Rep Power : 304 Likes Received6 Likes Given1
  10. Kimagege

    Mtela Mwampamba Naomba Ujibu Haya Yafuatayo

    Usipoteze muda na maswali mengi akma hayo.hayo maswli hata kikwete yamemshinda ndo mana alisemaga hajui kwanini sis ni masikini sembuse huyo mganga njaa?huyo muulize baba yake halisi yupo wapi.hilo linmfaa
  11. Kimagege

    Polisi Mwanza yawasaka Sheikh Ilunga, Askofu Mpemba kwa uchochezi

    yani polisi wamewaacha wahalifu wameondokaa?
  12. Kimagege

    BAVICHA iko wapi?

    nani kakupa kazi ya kumsemea zitto?
  13. Kimagege

    Huyu yuko hai au....!?

    wameshapelekwa omani na yule mzee wa ......................... weka mbali na tembo
  14. Kimagege

    Hapa Sitii Neno

    mmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
  15. Kimagege

    Tume ya Pinda: Yatoa taarifa yake ya wanafunzi kufeli mtihani wa kidato cha nne

    Sababu nyingine ni usimamizi dhaifu katika sekta ya elimu, pamoja na uhaba wa bajeti, sababu ambazo zimezoeleka na zilikuwa zikijulikana kabla ya tume hiyo kuundwa.
Back
Top Bottom