tena wanaume wabinafisi sana ukiwa nacho unampa tena kwa moyo mmoja wewe ukiishiwa siku huna kazi au nini basi hela atakayolkupa atakusimanga nayo weee.wanawake huwa wana moyo wa upendo wa kweli wala hajuti kumpa mpenzi wake ampendaye kitu kwani amempa kwa moyo mweupe,mwanaume sasa kama gari...
nimesoma ila fafanua,
*bila shaka wana jamii sio mlivyo,tushaurini lakini na ndoa zenu mfanya mnavyofanya muwe mfano*basi nataka japo niongee na mkeo nimulize kama uyasemayo ndo unayoandika hapa labda na mimi ndoa yangu itakuwa na furaha nikipata ushauri unaosema,nikisoma coments zako naona...
mbu hapo juu nimesoma post yangu very interesting sijui umeoa umeyajua yote hayo?au upo kwenye ndoa muda gani bla shaka utakuwa mwenye furaha kwenye ndoa yako maana post zako zinaonekana za kikubwa.haswa ile ya dizaini ya kulala kwenye ndoa baada ya miaka kadhaa,bila shaka ukishayajua ote hayo...
hata umfanye nini mwaume hatosheki,kama ameamua kwenda nyumba ndogo ataenda tuu maana ameshaamini akilini mwake kuwa numba ndogo ni tamu but ukmwi tu wanaume wanatafuta,unaweza kaa na mkeo vizuri na akakupa yote utakayo ukawa mwenye furaha kwenye ndoa yako kuliko nyumba ndogo lakini kwa vile...
Belinda asante mwenzangu naipenda sana ndoa yangu,na ninampenda sana sana mume wangu kwa moyo wangu wote,sitaki kuipoteza,sikumuliza kwa sababu gani amenipa maana nilishangaa na kukasirika ila sikutaka kumuuzi na nilikua na ukame nikadhani labda ushamba wangu niulize kwanza japo niliumia sana...
si mzungu,mweusi aliazaliwa ushwahilini haswa,haya mambo ya kizungu tena analeta wakati huu hakuyaleta wakati tupo wachumba maana tumekua pamoja zaidi ya miaka mitano kabla ya kuoana,Penny anafanya kazi ya kawaida na ya kueleweka si ya kuchosha kiasi hicho,ni receptionist kwenye hoteli ya kitalii
hata mkiongea haelewi maana penzi la nje limeshamnogea,kaaaazi kweli kweli,yeye anajiona kama yupo sawa kila afanyalo hataki kuambiwa akiambiwa mkali naona dawa nitafute mapozeo nje na mimi ili tuwe sawa
nakuunga mkono yoyo!bila shaka hizi post zinawasaidia wanajamii wote,msiwanyime waume haki zao na wanaume na nyie msiwanyime haki zao wake zenu,mwenzio akitoka nje ya ndoa usilalamike ni kosa lako
mh jamani saa nyingine pia ni wanaume mimi nimewahi kukaa muda sana mume wangu hataki kunitimizia haja yangu najitahidi kufanya mambo yote but hana muda kila wakati yupo busy na shughuli zake mara anasema usimguse amechoka mh kweli saa nyingin wanawake tunanyanyasika pia sana sasa mtu amekuoa...
he he he he mimi huwa napenda kweli hizi post za mapenzi,naombeni kuuliza mimi nimeolewa nina miaka kama kumikwenye ndoa yangu nina mtoto mmoja,kama kawaida kuna kutokuelewana wakati mwingine kwenye ndoa kuna wakati tuliwahi kukaa miezi mitatu bila kutimiza swala la ndoa na mume wangu baada ya...
Mimi ni mwanamke,nadhani wanawake hua wanachet baada ya wanaume kuwa masugu ku cheat,mwanamme uliwahi kukosa wakati hamjaoana basi yeye analipiza mara mia ya ile wakati yale ni mambo ya kale he keep on telling you eti wewe ulifaya hapo mwanamke huna faraja unaingia kwenye vishawishi,na wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.