Umelalaje?...

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,839
View attachment 3931

...ulalaji wenu ni uthibitisho tosha juu ya ubora/udhaifu wa mahusiano yenu!
ni juu yako kuzidi kujenga, au kuendelea kubomoa,

shauri yako! :(
 
mmmmm, kama umelala peke yako.. u dont qualify for any of these! kwi kwi kwi
 
mmmmm, kama umelala peke yako.. u dont qualify for any of these! kwi kwi kwi

...yawezekana pia, ila kwa posse hizi za kulala waweza jua mwelekeo wa 'uchumba' kabla hujajitumbukiza kwenye pingu ya maisha vile vile :D

'udugu wa shuka ndani ya chandarua', ha haa ha
 
he he he he mimi huwa napenda kweli hizi post za mapenzi,naombeni kuuliza mimi nimeolewa nina miaka kama kumikwenye ndoa yangu nina mtoto mmoja,kama kawaida kuna kutokuelewana wakati mwingine kwenye ndoa kuna wakati tuliwahi kukaa miezi mitatu bila kutimiza swala la ndoa na mume wangu baada ya muda akaninunulia toy la kujitimizia mwenyewe haja zangu kama zawadi,nimeuliza kwa wana ndoa wenzangu wakasema hivyo si swa kabisa kwa nini anipe wakati yeye yupo labda tungekua tunakaa mbali mbali,kweli wana jamii hilo munalionaje mumeo upo nae ndani anakuletea hiyo zawadi wakati yeye yupo upo nae ndani na wakati huo huo muda muda mrefu hajakuudumia??unajaribu kufanya kila njia aone unaitaji hilo,hapo hapo unahisi ana uhusiano wa mapenzi na mwanake mwingine maana hata ratiba zake huzielewi mara katoka kachelewa kurudi mara hapokei simu,nisaidieni wenzangu labda naweza pata jambo kusave ndoa yangu,nampenda sana mume wangu na sitaki kumpoteza
 
he he he he mimi huwa napenda kweli hizi post za mapenzi,naombeni kuuliza mimi nimeolewa nina miaka kama kumikwenye ndoa yangu nina mtoto mmoja,kama kawaida kuna kutokuelewana wakati mwingine kwenye ndoa kuna wakati tuliwahi kukaa miezi mitatu bila kutimiza swala la ndoa na mume wangu baada ya muda akaninunulia toy la kujitimizia mwenyewe haja zangu kama zawadi,nimeuliza kwa wana ndoa wenzangu wakasema hivyo si swa kabisa kwa nini anipe wakati yeye yupo labda tungekua tunakaa mbali mbali,kweli wana jamii hilo munalionaje mumeo upo nae ndani anakuletea hiyo zawadi wakati yeye yupo upo nae ndani na wakati huo huo muda muda mrefu hajakuudumia??unajaribu kufanya kila njia aone unaitaji hilo,hapo hapo unahisi ana uhusiano wa mapenzi na mwanake mwingine maana hata ratiba zake huzielewi mara katoka kachelewa kurudi mara hapokei simu,nisaidieni wenzangu labda naweza pata jambo kusave ndoa yangu,nampenda sana mume wangu na sitaki kumpoteza

Pole sana dada, hupo peke yako tuko wengi tuu wa aina yako. Pengine nikuulize tuu. Kazi yake nini hasa...ukishindwa nijibu hapa ingia kwenye PM tulonge zaidi.
 
Kama ni mzungu sio kitu cha kushangaza. Kutumia toy, haina maana huhitaji mwanamme, bali utamwitaji zaidi. Mwanamme ana joto, perfume n.k Na inategemea toy gani, kama ni vibr......., ni vitu 2 tofauti na mwanamme.
 
he he he he mimi huwa napenda kweli hizi post za mapenzi,naombeni kuuliza mimi nimeolewa nina miaka kama kumikwenye ndoa yangu nina mtoto mmoja,kama kawaida kuna kutokuelewana wakati mwingine kwenye ndoa kuna wakati tuliwahi kukaa miezi mitatu bila kutimiza swala la ndoa na mume wangu baada ya muda akaninunulia toy la kujitimizia mwenyewe haja zangu kama zawadi,nimeuliza kwa wana ndoa wenzangu wakasema hivyo si swa kabisa kwa nini anipe wakati yeye yupo labda tungekua tunakaa mbali mbali,kweli wana jamii hilo munalionaje mumeo upo nae ndani anakuletea hiyo zawadi wakati yeye yupo upo nae ndani na wakati huo huo muda muda mrefu hajakuudumia??unajaribu kufanya kila njia aone unaitaji hilo,hapo hapo unahisi ana uhusiano wa mapenzi na mwanake mwingine maana hata ratiba zake huzielewi mara katoka kachelewa kurudi mara hapokei simu,nisaidieni wenzangu labda naweza pata jambo kusave ndoa yangu,nampenda sana mume wangu na sitaki kumpoteza

Pole kwa hali hiyo shosti na vizuri unajua ndoa zina raha na karaha zake! Mumeo ni mtasha(mdhungu)? Maana kukupa toy wakati yeye yupo sijui atakuwa alimaanisha nini hata kama ni zawadi na mnaishi nyumba moja?!
Ulimuuliza kwa nini amekununulia zawadi aina hiyo? Pia ni vizuri umeonyesha una nia na kuipenda sana ndoa yako, naamini ukidhamiria na kuweka jitihada utaisave ndoa yako. Muhimu na kubwa zaidi ni kuongea na mume wako!
Kumbukeni mlipoanza mapenzi,kumbushaneni vitu gani hampendi wote au vitu gani mnapenda kufanyiana lakini siku hizi hamfanyiani.
Mwambie jinsi unavyomuhitaji kindoa zaidi hata kama anachoka na kazi! Ila tafuta muda muafaka kwenu muongee mamii..
 
tehe tehe tehe eti Toy tehe tehe tehe tehe tehe tehe hilo Toy lilikushibisha? kama linakutosheleza endelea nalo bibie kima.......ila jua huwa nasikia linanyambulisha uke yaani ukitumia kwa muda uke unasambaa unakosa radha hata kuuangalia....
 
si mzungu,mweusi aliazaliwa ushwahilini haswa,haya mambo ya kizungu tena analeta wakati huu hakuyaleta wakati tupo wachumba maana tumekua pamoja zaidi ya miaka mitano kabla ya kuoana,Penny anafanya kazi ya kawaida na ya kueleweka si ya kuchosha kiasi hicho,ni receptionist kwenye hoteli ya kitalii
 
Belinda asante mwenzangu naipenda sana ndoa yangu,na ninampenda sana sana mume wangu kwa moyo wangu wote,sitaki kuipoteza,sikumuliza kwa sababu gani amenipa maana nilishangaa na kukasirika ila sikutaka kumuuzi na nilikua na ukame nikadhani labda ushamba wangu niulize kwanza japo niliumia sana sana,mpaka hii leo sijamuliza maana nilijaribu kutumia mwenyewe siku hiyo nilipata feelings lakini siku enjoy kama kitu halisi,
 
si mzungu,mweusi aliazaliwa ushwahilini haswa,haya mambo ya kizungu tena analeta wakati huu hakuyaleta wakati tupo wachumba maana tumekua pamoja zaidi ya miaka mitano kabla ya kuoana,Penny anafanya kazi ya kawaida na ya kueleweka si ya kuchosha kiasi hicho,ni receptionist kwenye hoteli ya kitalii

Pole sana dada, pengine anamatatizo mengine ya ki saikologia zaidi. Cha msingi ongea naye na ikishindikana ongea na watu wanaoweza kuwapa ushauri zaidi (kanisani, wazazi, washenga etc).
 
si mzungu,mweusi aliazaliwa ushwahilini haswa,haya mambo ya kizungu tena analeta wakati huu hakuyaleta wakati tupo wachumba maana tumekua pamoja zaidi ya miaka mitano kabla ya kuoana,Penny anafanya kazi ya kawaida na ya kueleweka si ya kuchosha kiasi hicho,ni receptionist kwenye hoteli ya kitalii

Hee, makubwa basi kakuchoka huyo, kwa nini akuletee toy! kwani yake haifanyi kazi. Duh, ingekuwa mimi...angejutaaaaa kunifahamu! ningelikuwa na wangu tayari wa kuniburudishaaaaah! kwa nini nijisumbue my head while life is too short.
 
Belinda asante mwenzangu naipenda sana ndoa yangu,na ninampenda sana sana mume wangu kwa moyo wangu wote,sitaki kuipoteza,sikumuliza kwa sababu gani amenipa maana nilishangaa na kukasirika ila sikutaka kumuuzi na nilikua na ukame nikadhani labda ushamba wangu niulize kwanza japo niliumia sana sana,mpaka hii leo sijamuliza maana nilijaribu kutumia mwenyewe siku hiyo nilipata feelings lakini siku enjoy kama kitu halisi,

Cha muhimu kabisa ni kuongea nae! Hapo ndo itakuwa mwanzo wa kutatua matatizo mengine kama yapo. Mawasiliano muhimu sana kwenye mapenzi...
 
Hee, makubwa basi kakuchoka huyo, kwa nini akuletee toy! kwani yake haifanyi kazi. Duh, ingekuwa mimi...angejutaaaaa kunifahamu! ningelikuwa na wangu tayari wa kuniburudishaaaaah! kwa nini nijisumbue my head while life is too short.

Ohhh kumbe uko hivyo duuu Shankupele.....umejuaje kamchoka? Kama ungempata basi huyo...
 
Pole sana dada, hupo peke yako tuko wengi tuu wa aina yako. Pengine nikuulize tuu. Kazi yake nini hasa...ukishindwa nijibu hapa ingia kwenye PM tulonge zaidi.

Hee, makubwa basi kakuchoka huyo, kwa nini akuletee toy! kwani yake haifanyi kazi. Duh, ingekuwa mimi...angejutaaaaa kunifahamu! ningelikuwa na wangu tayari wa kuniburudishaaaaah! kwa nini nijisumbue my head while life is too short.

...Contradictory remarks dada Penny!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom