Naona tusifanye siasa za itikadi
Soma chambua elewa afu toa ufafanuzi na hoja zako..
Isiwe kama boko haramu hata umwambiaje hawezi kuacha itikadi ya ukaidi wake lkn hana hoja muhimu.
Naomba kuwasilisha.[emoji72]
katika ulimwengu huu wa technolojia; taratibu tuu tutazoea kwakua gharama iko cheep na madereva wengi wameiitikia vizuri! hope itaanza kwa watalii bt na kwa sisi tutaifata tuu siku za usoni!
hio ni coz nzuri na ajira zake ni nyingi sanaa kuliko kozi zote ila itategemea uko competent katika sehemu ipi kwa sababu computer eng imekava sehemu nyingi sana ukijua kitu kimoja utasema ajira ngumu so kuwa mtundu afu ujue vitu piga msuli sana cozi hii ni ngumu sanaa! kumbuka engineering ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.