Recent content by Kim Jr3

  1. K

    Walimu wa Historia naomba msaada

    hii ni moja wapo ya principles za VPT (Versaille Peace Treaty), ambayo ukiichambua kama ilivyo unapata points zilizosaidia kupata uhuru. Kwanza ujue What is self determination, kutoka kwenye definition , then read between the line utapata ni jinsi gani ilivyosaidia. Jishuhurishe ni simpe mno.
  2. K

    Afande Sele ajiandaa kunyakua jimbo la Morogoro Mjini

    ipo siku rais atatokea bongo flava
  3. K

    Unaweza kupiga hgk alafu ukaenda kusomea sheria university

    unapiga lakini lazima uwe umefaulu English o-level
  4. K

    VPN gani nzuri niweze tumia net bure

    ndio kwenye server
  5. K

    VPN gani nzuri niweze tumia net bure

    mkuu naomba jinsi ya kuunganisha hii kwenye server address
  6. K

    Kwa wale wa transfer

    Ingia kwenye website ya TCU nenda hadi kwenye admission result search jina lako kama kuna mabadiliko nenda ulipopangiwa ndivyo nilivyo fanya na nimefanya registration
  7. K

    List ya transfer za degree mbali mbali

    Mimi nmeomba online na nimepata transfer
  8. K

    Majina HESLB yaongezwa

    Msaada tafadhali S3721.0055.2009
  9. K

    Waliopata mikopo HESLB 2014/15

    Dah nilikuwa nawazia sana registration ila kama ndo hivyo ngoja tuendelee kutafuta hizo pesa zao
  10. K

    Wanaosoma masomo ya Sanaa, Kwanini tujutie maamuzi yetu

    Wanafunzi wengi wanaacha masomo ya sayansi si kwa sababu hawapendi hayo masomo ila wengi wao wanatoka shule za kata ambazo hazina miundo mbinu ya kufundishia pia walimu hakuna sasa unategemea nini hapo kama sio kukimbilia masomo ya sanaa
  11. K

    Hatua na taratibu za kuhama chuo au kozi

    Sawa mkuu ngoja tusubiri..!
  12. K

    Hatua na taratibu za kuhama chuo au kozi

    Inachukua muda gani kipata majibu kwa anaefahamu atujulishe maana muda wa registration vyuoni ndio huo umekaribia..!
  13. K

    Kwa wanaoenda JKT tu,someni hii na uliza chochote

    Kuna hili la traksuits,je zinahusika.?
Back
Top Bottom