Ushaharibu mkuu, japo hukupaswa kumuamin kama hashiki mimba. Napia kama hukuwa na mpango nae ungemuacha na bikira yake. Wewe kama mwanaume ulikuwa na tekniki za kumpata, ila nayeye kama mwanamke alikuwa na tekniki za kuwa nawe kimaisha.
Fanya jambo moja tena la busara tu, elewana nae kisha...
Mambo mengine tunapoyezeana muda tuu.....
Obama aliambiwa c raia wamarekani, akatoa nyaraka watu wakahakiki wakakubali n raia mwenzao.
Magu kauliziwa mshahara wake akautaja hadharani
Sasa ndugu BASHITE kuonesha vyeti tuu anashindwa au aseme vimeliwa na mchwa kule "CALL ME...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.