Hivi mfumo wa mawasiliano serikalini ukoje? Inaonekana kama hakuna mutual coordination , nilitegemea agizo Kama Hilo kuanza kwa vikao vya ndani vya RCC kwaajili ya mapendekezo, maamuzi na utekelezaji. Sio jambo lenye afya sana kwa maafisa waandaminiz wa serikali kusigana/ kupingana Kali...
Pole sana...vipi mdau alitumia
"Vumbi la Kongo?? "
Maana hiyo kitu ukigusisha tu kwenye kichwa kitu ikagusana na ngozi basi wewe maji utaita mma aa....
Assumptions:
1.Ufinyu wa vituo vingi vya dala dala ni tatizo kubwa, inabidi vituo vijengwe kama kile cha mawasiliano (simu 2000).
2.pia dala dala nyingi zinaingia kwa mwendo wa kasi na Fuji nyingi vituoni.
3.pia na sisi abiri tunakaa bila tahadhari vituoni na kugombea magari wakati...
huwa sipendi kupeleka demu ghetto kwangu Mara ya kwanza kutokana na sababu za kiintelijensia na kiusalama, pia landlady ambae ni mbibi ni msumbufu sana akiona mgeni mwanamke.
nimecheka sana..kwani umenikumbusha somo la history
ubugabile wanaokuwa "landlord "VS "landlady".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.