Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,900
Tunumie number nikupe ushauri😂😂😂😂😂😂😳 utani tu! Pole dada mvumilivu maana unamoyo wa Chuma.
Usikimbie nyumba yako hata kama bado hamjafunga ndoa jaribu kukaa na mwenzako muongee na pia jaribu kukumbuka ibada kila siku maombi yako yaelekeze kwa mungu atabadilika na mtaishi tu kwa Amani.usichoke omba kila siku usikimbie matatizo tafuta suluhu.
PIA UMRI NDIO UNASABABISHA HAYO. ATAKUA NA ATATULIA
MUNGU ATAKUSAIDIA
AMEEEN.
Hapana aisee... Mwanaume anakujia saa 10-12 alfajiri hata ndoa hamjafunga. Mkifunga atagraduate kabisaaaaa kuja kesho yake ama kesho kutwa.
Hivi hujui nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe???
Ukiona manyoyaaaa.....
Kalaghabahoooo!!!!!!!
Wakati unaandika alikua wapi?
Habar za uchaguz Wakuu,polen na heka heka
Mim ni Bint Wa miaka24 naish na Mwenzgu hatujazaa bado, tabia ya mwenzagu inanikera kwakeli anatabia ya kurud usiku sana sa 10 mpk 11 siku nyingne nimeongea nimechoka siku iz namuanglia tu nshawambia wazee,wazaz lakin mwezng hasikii kwa madai yake anakuwa na washkaji bar( sijui wao hawana familia) hii imekuwa tatzo kwangu mpk nimezoea nimeamua kukaa kimy.
Kitu kingne ni suala LA mtoto sote tunahuitaj Wa mtoto Hosp wanasen mim nipo sawa ( yey hajapima) lakin nikimuuliza mwenzgu labda ktk pita pita zake ashawahi kumpachika bint mimba anakaa sa iv nikimuuliza anasema yupo ina miez mitatu Mara nakutania hakuna kitu km icho nanyamaza tu ikipta km miez nkamuuliza tena akakubali yupo anayo baadae anasema nakutania namuaglia tu
Sasa leo tumewasilian vzr tu baadae sim yang ikaaita kumbe imejipinga naskia saut anaongea na m.ke kweny gari nimewackilza sana tu.
Nashindwa kumuelewa kbs huyu bwana wakuu naomba mnisaidie bado cjafunga ndoa mim ndo nasita sita naogopa mno nahis hata mimba haingii ni Mungu tu ananiepusha na kitu nimevumilia mno ila moyo unauma mno aisee ( polen kwa kuwachosha) nahitaj ushaur Wa faraja sio matus
Hujafunga ndoa
Mwanaume mala.ya
Wewe binti bado
Hivi binadamu wengine mpaka muombewe???????? Unachong'ang'ania hapo ni nini???
Hakika ashakuchokaKitandani
Hujafunga ndoa
Mwanaume mala.ya
Wewe binti bado
Hivi binadamu wengine mpaka muombewe???????? Unachong'ang'ania hapo ni nini???