Huyo nNyerere litawala miaka zaidi ya 20 ila alishindwa kujenga hospital ya Hadi ya kutibu magonjwa yaliyokuwa yanamsumbua matokeo yake akawa anatibiwa Marekani na UK nchi alizokuwa anawaita mabeberu na wanyonyaji.
Hawa wanasiasa wanatuona sisi wajinga sana.
Jiandae kisaikolojia
Hakuna mahusiano ya mbali
Ndoa nyingi za wafanyakazi waliohamishiwa Dodoma zimeshakufa au kuyumba hovyo.
Najua una Majibu tayari ila hapo hakuna mahusiano Tena.
Kosa ulilokosea ni kuikana Imani uliyokuwa unaiamini kuhusu mwanamke kukaa nyumbani. Pigania Imani yako.
Airbag hazijawekwa kwasababu ya nchi zenu masikini Bado mna Barabara Moja ya kwenda mkoani mnapishana kwenye single Lane.
Airbag ziko effective kwenye nchi gari zinatumia lane 2 tofauti.
Barabara zenu ajali nyingi ni head to head collision hapo hata utumie Airbag ipi kuchomoka ni below 5%...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.