Recent content by Kim Jong Jr

  1. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    Akaolewe huko chuo na assignment
  2. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania Binadamu sio kitovu cha ulimwengu kama dini zilivyoaminisha watu.

    Ulimwengu ni nini na Dunia ni nini
  3. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania Watu wengi wanadhani bado DSM, ARS na MWZ ndio sehemu pekee zenye maisha ghali sana TZ, mnakosea, joto lisha sambaa kote, mikoani napo ni expensive

    Hii dar yenyewe huko mbagala Kuna vyumba vya 50,000 Maisha ni kuchagua Hakuna nchi duniani Ina gharama za maisha sawa Kwa nchi nzima. Acha kupotosha
  4. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania Zanzibar ianzishe shirika la ndege kuchochea Utalii!

    Issue ni kwamba watalii wengi huanzia bara Serengeti au mikumi au Kilimanjaro mountain Kisha humalizia Zanzibar.
  5. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa RSF ya Sudan wapokea msaada wa intelijensia na vifaa kutoka Israel

    😀😀😀 Muislam unatumia taqqiya kutudanganya
  6. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Boda aliyemuingilia Mwanafunzi wa Darasa la 3 (mbele na nyuma) - Mbande, anatamba mtaani, hatuoni dalili ya haki

    Chukua huu ushauri Nenda Ofisi za ustawi wa Jamii kata yako na evidence zako zote utasaidiwa sana na mtapata haki.
  7. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Hii ndio maana ya civilization Ukitoa hiyo north Africa, misri Ambayo na yenyewe ilikuwa na watu kutoka ulaya na middle east kipindi cha roman empire na byzantine empire. Niambie ni wapi Africa wamewahi kuwa na tawala zenye Court system, government system, record keeping, judicial system,
  8. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania Bila wazungu, maisha yangekuwa magumu sana hapa duniani

    Western designing nyie mlikuwa mnatembea peku kama bata
  9. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania Biashara na Kilimo ni Rahisi Ukiwa Unasimuliwa

    Biashara na kilimo ni vipawa au vipaji kama ilivyo kucheza Mpira au kuimba Muzik. Hata muziki una Hela ila sio Kila mtu anaweza kuwa mwanamuziki. Hakuna sector isiyo na Hela na hakuna sector ni rahisi kupata Hela. Explore your identity kisha chagua biashara yenye alignment na identify...
  10. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna Ghorofa lipo Kimara Mwisho, lina nyufa nyingi na kuna chemchem ya maji. Tunahofia usalama wetu

    Waiteni wahusika mchana kweupe muwape report huku mkirecord video halafu zipandisheni humu Kwa ushahidi Ili siku likitokea la kutokea tujue tunaanza kumnyonga nani.
  11. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wanaume wenye maisha duni ya kawaida wanajali sana bikira?

    Nini maana ya masikini kwanza mkuu ? Maana Kuna mtu ni tajiri ila alianzia chini Kwa kuoa mwanamke bikra wakiwa wanalala chini!
  12. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania Miujiza Nepal; Sanamu ya Budha yabaki imesimama imara katikati ya Mafuriko makubwa!

    Waislam wameshaanza kusema Allah anawaadhibu Nepal kwasababu walibomoa misikiti
  13. Kim Jong Jr

    JamiiForums Tanzania Kinachosikitisha wa Tanzania waliozamia SA wemerudi na umaskini

    Kwani akili zake haziko sawa?
Back
Top Bottom