Hii ndio maana ya civilization
Ukitoa hiyo north Africa, misri Ambayo na yenyewe ilikuwa na watu kutoka ulaya na middle east kipindi cha roman empire na byzantine empire.
Niambie ni wapi Africa wamewahi kuwa na tawala zenye Court system, government system, record keeping, judicial system,
Biashara na kilimo ni vipawa au vipaji kama ilivyo kucheza Mpira au kuimba Muzik.
Hata muziki una Hela ila sio Kila mtu anaweza kuwa mwanamuziki.
Hakuna sector isiyo na Hela na hakuna sector ni rahisi kupata Hela.
Explore your identity kisha chagua biashara yenye alignment na identify...
Waiteni wahusika mchana kweupe muwape report huku mkirecord video halafu zipandisheni humu Kwa ushahidi Ili siku likitokea la kutokea tujue tunaanza kumnyonga nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.