Jitahidi kuweka usawa ndani yako. Hayahayatakusaidia kama ndani yako hakuna usawa. Kingine Mungu havutwi na Sala au majina ya siri. Jifunze kumuona katika vitu vya kawaida tu kama pumzi hewa Mwanga na shughuli ndogo unazozifanya kwa kuwa hapo. Jifunze kutembea kwa utulivu na uwe mwaminifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.